Wasanii walioshinda Tuzo za Tanzania Music Awards 2023

Wasanii walioshinda Tuzo za Tanzania Music Awards 2023

Duh
Hakuna kichekesho walichofanya hao BASATA

katika kipengele cha msanii bora wa Afrika magharibi.walikuwa ni
1.Rema
2.Burnaboy
3.Ayra star
4. kiss daniel


Eti akapewa kiss daniel kwa kigezo kipi?

Burnaboy ni Giant na anahit songs zaidi ya 4 mwaka jana. Ayra star ndo hagusiki pamoja na Rema


NILIZIMA TV NIKALALA BONGO NYOSSO
Kizz Daniel alitisha Sana...
Wake up..[emoji91]
Cough balaa [emoji91]
 
Halafu video bora ya mwaka ni Zai ile ameimba Maua Sama,sijui ilitoka mwaka gani lkn n maon yng tu[emoji16]
 
Inakuaje uwe msanii Bora wa kiume ikiwa huna hata wimbo wowote wako ulioshinda Tuzo Hili linanishangaza mno kiufupi hizi Tuzo ni takataka sijapata kuona
We ulikuwa wp kaka collabo ya kuzagamuana na kajala, renji mbili, kutaka kula na mayai baada ya kula kuku na bango lile huko mjini kwenu tuseme minyimbo yte hii we hujaiona
 
Back
Top Bottom