Kizz Daniel alitisha Sana...Duh
Hakuna kichekesho walichofanya hao BASATA
katika kipengele cha msanii bora wa Afrika magharibi.walikuwa ni
1.Rema
2.Burnaboy
3.Ayra star
4. kiss daniel
Eti akapewa kiss daniel kwa kigezo kipi?
Burnaboy ni Giant na anahit songs zaidi ya 4 mwaka jana. Ayra star ndo hagusiki pamoja na Rema
NILIZIMA TV NIKALALA BONGO NYOSSO
Dogo anabaniwa sema anapambana.Iweje Marioo hajapewa tuzo!!?
hawezi furukuta mbele ya harmonize na mbossoIweje Marioo hajapewa tuzo!!?
We ulikuwa wp kaka collabo ya kuzagamuana na kajala, renji mbili, kutaka kula na mayai baada ya kula kuku na bango lile huko mjini kwenu tuseme minyimbo yte hii we hujaionaInakuaje uwe msanii Bora wa kiume ikiwa huna hata wimbo wowote wako ulioshinda Tuzo Hili linanishangaza mno kiufupi hizi Tuzo ni takataka sijapata kuona
🤣🤣🤣🤣🤣🤣We ulikuwa wp kaka collabo ya kuzagamuana na kajala, renji mbili, kutaka kula na mayai baada ya kula kuku na bango lile huko mjini kwenu tuseme minyimbo yte hii we hujaiona