Wasanii wamliza tena mama kanumba

Sawa picha tumeziona. Ila maelezo yake hakuna. Nn kimemliza??
 
Kumbe mama Kanumba ni thread ya Uchumi!! hii ni habari kwangu
 
Mama Kanumba kulia ni habari ya uchumi?

Cc: Invisible

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Mkuu, haya yalishapita. Unadhani hii lugha ni sahihi kweli?

Lugha ni sahii,ila sema muda mwingine ukweli mwingine tusiuseme, kama ilivyo kawaida ya wanadamu. Lakini ukweli ni kuwa yaliyotokea yalikuwa na baraka za shetani! Yamepita nakubali, tusiyakumbushie lakini mtu akitaka kuyasema tusimlaumu kuwa kasema vibaya maana ndio ukweli unaomuwekaga mtu huru! Samahani kama nimekukwaza. Pole yaishe.
 

Nimekusoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…