DSE Tanzania
Member
- Sep 20, 2013
- 27
- 10
WASANII wa Kenya, Rwanda, Uganda na Burundi waliofika kuzuru kaburi la aliyekuwa legendary wa sinema za Kibongo, marehemu Steven Kanumba ‘The Great', wameibua simanzi upya na kumsababisha mama wa marehemu, Flora Mtegoa kuangua kilio upya kwa mara nyingine.
Kwa picha zaidi Tembelea Blog ya DSE.
Dar es Salaam Stock Exchange: WASANII WAMLIZA TENA MAMA KANUMBA
Wajiulize alikuwa anafanya nini chumbani na malaya!
Mkuu, haya yalishapita. Unadhani hii lugha ni sahihi kweli?
Lugha ni sahii,ila sema muda mwingine ukweli mwingine tusiuseme, kama ilivyo kawaida ya wanadamu. Lakini ukweli ni kuwa yaliyotokea yalikuwa na baraka za shetani! Yamepita nakubali, tusiyakumbushie lakini mtu akitaka kuyasema tusimlaumu kuwa kasema vibaya maana ndio ukweli unaomuwekaga mtu huru! Samahani kama nimekukwaza. Pole yaishe.