Wasanii wanafirisika kwa manunuzi ya kishamba kama Rolls Royce

Wasanii wanafirisika kwa manunuzi ya kishamba kama Rolls Royce

Hakuna kitu kinafilisi wasanii fasta kama manunuzi ya vitu vya bei ghali ambavyo vinahitaji upkeeping, upgrading na maintenance ya status quo ya gharama zaidi, kwani ukishanunua Rolls-royce la billioni 2.1 la 2021 utakuwa challenged ku maintain status quo na ununue Rolls Royce lingine la 2022, 2023 nakazalika otherwise utachekwa na kina Davido na wengine wapya watakao upgrade newer models.

Sasa wewe msanii umekaa miaka 10 unaota kununua Rolls Royce sasa umepata vihela vyako vya madafu umeenda marekani umevuta bangi ukajiona umepiga picha na wasanii wakubwa sasa unaendana na hadhi zao ukaona uvunje kibubu chako chote ununue Rolls Royce sawa sasa umeingia mtego jomba mwakani inatoka black badge ya 2022 Davido ataposti ya kwake je na wewe je utaendana na mwendo wake au utaishiwa pumzi nguvu za soda.

Kulikuwa na msanii alipiga hela bwana kwa siku alikua ananunua corolla tatu mfululizo kwa viitikio vya chekechea kapiga bangi zake na masaa 24 kashika chupa lake la konyagi, wewe sijui unaweka nini kwenye viglasi vyako vyekundu masaa 24 labda hennessy, ila bwana mwenzio wa ukuti ukuti kafulia chali.

Mike tyson alikuwa na hela chafu kwa siku alikua ananunua Rolls Royce nne kafulia chali...,

Mc hammer alikua msanii mkubwa dunia nzima ukitoa Michael jackson enzi hizo alipiga hela mbaya sana alikua na chawa kama wote ananunua Rolls Royce alafu anasahau kama alinunua Rolls Royce ananunua tena kumbe iko kwa cousin wake. Kafulia fasta....

Msanii ujue kwamba ku maintain status quo kwa presha za wanaharakati wa mitandaoni ni kujitafutia anguko lako, wote tunajua hela hiyo hunaa, sijui umefanyaje fanyaje ila tuna uhakika mwakani Rolls-royce black badge 2022 hutoboi, kama una pumzi tuletee kontena jipya mwakani kama hujauza vikorokoro vyako vyote. Alafu hizo Gari mwaka moja unatakiwa uipaki trust me hakuna fundi atagusa hiyo labda uiache ndani kama pambo.
Acha wivu wa kijinga,kununua gari sio ushamba,kama unatumia mshahara wako wa millioni 5 kununua ist ya milioni Saba,wewe ni mshamba,lakini mtu ana mkwanja,mrefu kama bilioni 100,unasema kununua royce Royce,au hummer,au vogue ni ushamba?acha uchawi jombaa
 
[emoji23]

Umefanya na mimi nijione kidume
wewe kidume haswaaaa ila nina mashaka nawewe kidogoooo

sidhani kama zinatolewaga,yani wewe n kama umemuwekea panya

mtego akinasa ndio kanasa hatolewi ng'o,zikifika ndio zimefika zisahau kutolewa😂
 
wewe kidume haswaaaa ila nina mashaka nawewe kidogoooo

sidhani kama zinatolewaga,yani wewe n kama umemuwekea panya

mtego akinasa ndio kanasa hatolewi ng'o,zikifika ndio zimefika zisahau kutolewa[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
kweli uchawi upo!! mtoa maada una roho ya korosho!! Umenikera kichizi!! Mimi nafurahia sana Diamondi anavotusua na afanikiwe zaidi
 
Hizi ni tabia za hovyo sana.. yaani unateseka na mafanikio ya mwenzako alafu ww ni wa kiume kweli??
Yaan kama una watoto wakiona baba yao anaandika huu upuuzi watasikitika sana kuwa na Baba mpumbavu kiasi hiki.

Mwanaume unakuwa na wivu kiasi hiki!!! Kwani ulimsaidia kuzitafuta?
Kwani akifirisika ww unatapata tatizo gani?
Sidhani kama ni mwanaume huyo, na kama kweli atakuwa na jinsia ya kiume basi atakuwa ni mwanaume tata.
Haiwezekani mwanaume awe na wivu wa kike na chuki namna ile utadhani alipewa uja uzito akatelekezwa.
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Ushauli wako kaupokea,na amesema kuna Rambogin,Bentley na privet jet inakuja miezi kadhaa tu hapo mbele
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Msanii ujue kwamba ku maintain status quo kwa presha za wanaharakati wa mitandaoni ni kujitafutia anguko lako, wote tunajua hela hiyo hunaa, sijui umefanyaje fanyaje ila tuna uhakika mwakani Rolls-royce black badge 2022 hutoboi, kama una pumzi tuletee kontena jipya mwakani kama hujauza vikorokoro vyako vyote. Alafu hizo Gari mwaka moja unatakiwa uipaki trust me hakuna fundi atagusa hiyo labda uiache ndani kama pambo.
bandiko lako limejaa usongombwingo,gere na chuki ya kimasikini tu
msanii hawezi kuwa juu huku anatumia Passo
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Hakuna kitu kinafilisi wasanii fasta kama manunuzi ya vitu vya bei ghali ambavyo vinahitaji upkeeping, upgrading na maintenance ya status quo ya gharama zaidi, kwani ukishanunua Rolls-royce la billioni 2.1 la 2021 utakuwa challenged ku maintain status quo na ununue Rolls Royce lingine la 2022, 2023 nakazalika otherwise utachekwa na kina Davido na wengine wapya watakao upgrade newer models.

Sasa wewe msanii umekaa miaka 10 unaota kununua Rolls Royce sasa umepata vihela vyako vya madafu umeenda marekani umevuta bangi ukajiona umepiga picha na wasanii wakubwa sasa unaendana na hadhi zao ukaona uvunje kibubu chako chote ununue Rolls Royce sawa sasa umeingia mtego jomba mwakani inatoka black badge ya 2022 Davido ataposti ya kwake je na wewe je utaendana na mwendo wake au utaishiwa pumzi nguvu za soda.

Kulikuwa na msanii alipiga hela bwana kwa siku alikua ananunua corolla tatu mfululizo kwa viitikio vya chekechea kapiga bangi zake na masaa 24 kashika chupa lake la konyagi, wewe sijui unaweka nini kwenye viglasi vyako vyekundu masaa 24 labda hennessy, ila bwana mwenzio wa ukuti ukuti kafulia chali.

Mike tyson alikuwa na hela chafu kwa siku alikua ananunua Rolls Royce nne kafulia chali...,

Mc hammer alikua msanii mkubwa dunia nzima ukitoa Michael jackson enzi hizo alipiga hela mbaya sana alikua na chawa kama wote ananunua Rolls Royce alafu anasahau kama alinunua Rolls Royce ananunua tena kumbe iko kwa cousin wake. Kafulia fasta....

Msanii ujue kwamba ku maintain status quo kwa presha za wanaharakati wa mitandaoni ni kujitafutia anguko lako, wote tunajua hela hiyo hunaa, sijui umefanyaje fanyaje ila tuna uhakika mwakani Rolls-royce black badge 2022 hutoboi, kama una pumzi tuletee kontena jipya mwakani kama hujauza vikorokoro vyako vyote. Alafu hizo Gari mwaka moja unatakiwa uipaki trust me hakuna fundi atagusa hiyo labda uiache ndani kama pambo.
Hayo nimawazo yamtu maskin pekee ndie anaweza kusema hivyo unajua mfuko wake unashngap???
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Hakuna kitu kinafilisi wasanii fasta kama manunuzi ya vitu vya bei ghali ambavyo vinahitaji upkeeping, upgrading na maintenance ya status quo ya gharama zaidi, kwani ukishanunua Rolls-royce la billioni 2.1 la 2021 utakuwa challenged ku maintain status quo na ununue Rolls Royce lingine la 2022, 2023 nakazalika otherwise utachekwa na kina Davido na wengine wapya watakao upgrade newer models.

Sasa wewe msanii umekaa miaka 10 unaota kununua Rolls Royce sasa umepata vihela vyako vya madafu umeenda marekani umevuta bangi ukajiona umepiga picha na wasanii wakubwa sasa unaendana na hadhi zao ukaona uvunje kibubu chako chote ununue Rolls Royce sawa sasa umeingia mtego jomba mwakani inatoka black badge ya 2022 Davido ataposti ya kwake je na wewe je utaendana na mwendo wake au utaishiwa pumzi nguvu za soda.

Kulikuwa na msanii alipiga hela bwana kwa siku alikua ananunua corolla tatu mfululizo kwa viitikio vya chekechea kapiga bangi zake na masaa 24 kashika chupa lake la konyagi, wewe sijui unaweka nini kwenye viglasi vyako vyekundu masaa 24 labda hennessy, ila bwana mwenzio wa ukuti ukuti kafulia chali.

Mike tyson alikuwa na hela chafu kwa siku alikua ananunua Rolls Royce nne kafulia chali...,

Mc hammer alikua msanii mkubwa dunia nzima ukitoa Michael jackson enzi hizo alipiga hela mbaya sana alikua na chawa kama wote ananunua Rolls Royce alafu anasahau kama alinunua Rolls Royce ananunua tena kumbe iko kwa cousin wake. Kafulia fasta....

Msanii ujue kwamba ku maintain status quo kwa presha za wanaharakati wa mitandaoni ni kujitafutia anguko lako, wote tunajua hela hiyo hunaa, sijui umefanyaje fanyaje ila tuna uhakika mwakani Rolls-royce black badge 2022 hutoboi, kama una pumzi tuletee kontena jipya mwakani kama hujauza vikorokoro vyako vyote. Alafu hizo Gari mwaka moja unatakiwa uipaki trust me hakuna fundi atagusa hiyo labda uiache ndani kama pambo.
Uchawi mbaya sana. Acha wivu, kwa hiyo davido unayemtolea mifano hawezi filisika ila huyu kwa kuwa anakunyoosha na genge lako ndio unaona anaweza filisika.
utakufa kwa chuki na wivu. Usipende kuishi maisha zaidi ya moja, ishi maisha yako inatosha sio kutaka na wengine waishi unavyotaka wewe.
 
Naamini mtu akipata pesa hatupasi kumpangia matumizi, shida inakuja pale mtu akipata pesa anapotaka kwa makusudi tuwe sehemu ya kufurahia au kuchukia kupata pesa yake. Tunakuwa huru nasi kutoa maoni.
Kwenye kuwa sehemu ya kufurahia amelenga fans wake na ndiyo showbiz inavyoendeshwa, if you're not part of the fans click ina maana wewe si mmoja wa wawalengwa hivyo baki tu kuwa mpenzi mtazamaji.
 
Acha matusi dogo unafikiri ukitukana tutakuacha umenisababishia ban bure
Baba zako unawaita dogo, jibu comments za wadau kwe uzi wako ila ukitukana unakula ban nyingine na this time around itakuwa ya nusu mwaka.
Don't hate the player, hate the game.
 
Back
Top Bottom