the guardian 17
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 395
- 570
Hivi kwani ukiwa msanii ni lazima u support CCM wakuu? Jamaa kwenye mambo ya chama wapo mbele sana ila kwenye mijadala muhimu kuhusu taifa wapo kimya yani inshort ni kama roborts jamaa.
Mastaa wa Hiphop na Bongofleva, Fid Q, AY, Chege na Madee wameungana na Viongozi wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana (UVCCM) kuwakaribisha Vijana wengine kwenye shamrashamra za Marathon ya miaka 48 ya CCM pamoja na Bash maalum vyote vikifanyika kesho January 4,2025 Jakaya Convention Centre Jijini Dodoma.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Wasanii hao watakuwepo kwenye Marathon ambayo itafanyika hiyo kesho February 04,2025 ambapo Vijana wataanza mbio kuanzia Jakaya Kikwete Convention Centre saa 12:00 asubuhi zikifuatiwa na burudani kutoka kwa Wasanii mbalimbali.
Marathon hiyo ni kuelekea sherehe za miaka 48 ya kuanzishwa kwa Chama cha Mapinduzi ( CCM ) tarehe 5 Februari 2025 katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma ambapo Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais Samia Suluhu Hassan.
Mastaa wa Hiphop na Bongofleva, Fid Q, AY, Chege na Madee wameungana na Viongozi wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana (UVCCM) kuwakaribisha Vijana wengine kwenye shamrashamra za Marathon ya miaka 48 ya CCM pamoja na Bash maalum vyote vikifanyika kesho January 4,2025 Jakaya Convention Centre Jijini Dodoma.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Wasanii hao watakuwepo kwenye Marathon ambayo itafanyika hiyo kesho February 04,2025 ambapo Vijana wataanza mbio kuanzia Jakaya Kikwete Convention Centre saa 12:00 asubuhi zikifuatiwa na burudani kutoka kwa Wasanii mbalimbali.
Marathon hiyo ni kuelekea sherehe za miaka 48 ya kuanzishwa kwa Chama cha Mapinduzi ( CCM ) tarehe 5 Februari 2025 katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma ambapo Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais Samia Suluhu Hassan.