Pre GE2025 Wasanii wanahamasisha vijana kushiriki UVCCM marathon, ila kwenye baadhi ya mambo mfano kutekwa kwa raia wapo kimya

Pre GE2025 Wasanii wanahamasisha vijana kushiriki UVCCM marathon, ila kwenye baadhi ya mambo mfano kutekwa kwa raia wapo kimya

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

the guardian 17

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
395
Reaction score
570
Hivi kwani ukiwa msanii ni lazima u support CCM wakuu? Jamaa kwenye mambo ya chama wapo mbele sana ila kwenye mijadala muhimu kuhusu taifa wapo kimya yani inshort ni kama roborts jamaa.

Mastaa wa Hiphop na Bongofleva, Fid Q, AY, Chege na Madee wameungana na Viongozi wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana (UVCCM) kuwakaribisha Vijana wengine kwenye shamrashamra za Marathon ya miaka 48 ya CCM pamoja na Bash maalum vyote vikifanyika kesho January 4,2025 Jakaya Convention Centre Jijini Dodoma.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Wasanii hao watakuwepo kwenye Marathon ambayo itafanyika hiyo kesho February 04,2025 ambapo Vijana wataanza mbio kuanzia Jakaya Kikwete Convention Centre saa 12:00 asubuhi zikifuatiwa na burudani kutoka kwa Wasanii mbalimbali.

Marathon hiyo ni kuelekea sherehe za miaka 48 ya kuanzishwa kwa Chama cha Mapinduzi ( CCM ) tarehe 5 Februari 2025 katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma ambapo Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais Samia Suluhu Hassan.

 
AY anajionea aibu kuvaa hizo nguo....nahisi alishinikizwa....wapi Roma wapi Ney wa Mitego
 
Hivi kwani ukiwa msanii ni lazima u support CCM wakuu? Jamaa kwenye mambo ya chama wapo mbele sana ila kwenye mijadala muhimu kuhusu taifa wapo kimya yani inshort ni kama roborts jamaa.

Mastaa wa Hiphop na Bongofleva, Fid Q, AY, Chege na Madee wameungana na Viongozi wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana (UVCCM) kuwakaribisha Vijana wengine kwenye shamrashamra za Marathon ya miaka 48 ya CCM pamoja na Bash maalum vyote vikifanyika kesho January 4,2025 Jakaya Convention Centre Jijini Dodoma.

Wasanii hao watakuwepo kwenye Marathon ambayo itafanyika hiyo kesho February 04,2025 ambapo Vijana wataanza mbio kuanzia Jakaya Kikwete Convention Centre saa 12:00 asubuhi zikifuatiwa na burudani kutoka kwa Wasanii mbalimbali.

Marathon hiyo ni kuelekea sherehe za miaka 48 ya kuanzishwa kwa Chama cha Mapinduzi ( CCM ) tarehe 5 Februari 2025 katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma ambapo Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais Samia Suluhu Hassan.

View attachment 3224587
Viongozi wa dini wanatakiwa nao kuanza kujihusisha na siasa na asitokee mpumbavu yeyote serikali na ccm aseme wasichanganye dini na siasa.
 
Hizo ndio akili zao halisi.
Hai kwa Sasa wafananishwe na visengeli.
Ngumbalu.
 
Viongozi wa dini wanatakiwa nao kuanza kujihusisha na siasa na asitokee mpumbavu yeyote serikali na ccm aseme wasichanganye dini na siasa.
Wameshaingia mkuu si unasikia wametoa tamko la kumuombea Rais kuelekea uchaguzi mkuu

 
Wameshaingia mkuu si unasikia wametoa tamko la kumuombea Rais kuelekea uchaguzi mkuu

Hao wanafanya maombi kwa rais japo ni uchawa lakini hawajaonesha uchama waziwazi kama hao wasani uchwara. Inatakiwa viongozi wa dini kama TEC wajitokeze wahamasishe wafuasi wao kuunga mkono chama fulani kwa uwazi kabisa kama wanavyofanya wasani uchwara na bongo mavi wanavyofanya ili kama ccm wataona nongwa viongozi wa dini kujiingiza kwenye siasa basi iwe nongwa na kwao pia kuwatumia wasanii uchwara kwenye siasa.
 

Attachments

  • Screenshot_20250204_095743_Facebook.jpg
    Screenshot_20250204_095743_Facebook.jpg
    531.9 KB · Views: 1
Marathon hiyo ni kuelekea sherehe za miaka 48 ya kuanzishwa kwa Chama cha Mapinduzi ( CCM ) tarehe 5 Februari 2025 katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma ambapo Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais Samia Suluhu Hassan.
Hahaha usanii kweli usanii nimecheka Madee alivyokua anacheka
 
Back
Top Bottom