Ambivert88
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 3,609
- 6,388
Shekeri haijawahi kumuacha mtu hivi hiviHizo ndio akili zao halisi.
Hai kwa Sasa wafananishwe na visengeli.
Ngumbalu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shekeri haijawahi kumuacha mtu hivi hiviHizo ndio akili zao halisi.
Hai kwa Sasa wafananishwe na visengeli.
Ngumbalu.
Wasanii wa Tanzania wamedharauliwa sana!Hivi kwani ukiwa msanii ni lazima u support CCM wakuu? Jamaa kwenye mambo ya chama wapo mbele sana ila kwenye mijadala muhimu kuhusu taifa wapo kimya yani inshort ni kama roborts jamaa.
Mastaa wa Hiphop na Bongofleva, Fid Q, AY, Chege na Madee wameungana na Viongozi wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana (UVCCM) kuwakaribisha Vijana wengine kwenye shamrashamra za Marathon ya miaka 48 ya CCM pamoja na Bash maalum vyote vikifanyika kesho January 4,2025 Jakaya Convention Centre Jijini Dodoma.
Wasanii hao watakuwepo kwenye Marathon ambayo itafanyika hiyo kesho February 04,2025 ambapo Vijana wataanza mbio kuanzia Jakaya Kikwete Convention Centre saa 12:00 asubuhi zikifuatiwa na burudani kutoka kwa Wasanii mbalimbali.
Marathon hiyo ni kuelekea sherehe za miaka 48 ya kuanzishwa kwa Chama cha Mapinduzi ( CCM ) tarehe 5 Februari 2025 katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma ambapo Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais Samia Suluhu Hassan.
View attachment 3224587