Pre GE2025 Wasanii wanahamasisha vijana kushiriki UVCCM marathon, ila kwenye baadhi ya mambo mfano kutekwa kwa raia wapo kimya

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wanao wafatilia hao wasanii nankuwapa airtime huwa nawashangaa sana

Ova
 
Wasanii wa Tanzania wamedharauliwa sana!
 
Mtu mwenye akili timamu hawezi kuwa motivated na wasanii
Au dawa yao ni kuwasusia kazi zao wapambane na hali zao wenyewe

Ova
 
Asubuhi nimesikia Maulid Kitenge na genge lake wamepandishwa helicopter kuangalia na kutangaza marathon, huku wakandarasi wa Tarura sehemu nyingi wakigoma kuendelea na kazi kwa kutokulipwa.(Watawala wanajali upuuzi huku kuna suala la dawa za Ukimwi,TB,Ukoma na chanjo zote za watoto inabidi tununue baada ya Trump kukata mirija ya misaada)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…