Nyandu nakataa..hagongi mambo ila anadeal nayo....kwa taarifa yeye ndo alimuokoa byser katika shimo na sasa anapambana kumnusuru young dee1.TID
2.???
3.???
4.Ray C
5.Q Chief
6.Rachel
7.???
8.???
9.Ibra Da Hasler
10.Ben Pol
11.Mandojo
12.Daz Baba
13.Wema Sepetu
14.Hamidu/ Nyandu Tozi
15.???
16.Matonya
Dah,nami niliwahi kutana nae pale rufita bar akiwa kachoka mbaya,mwezi mmoja baabae nilienda singida kijiji kinaitwa MTINKO nikakuta mabango yanayoonesha kwamba wiki mbili nyuma ilikua ni tarehe ya yeye kupiga show,nilisikitika sana mana huku mjini haskiki kabsa kweli nchi yetu kuna watu wakishakutumia ukaishiwa hawana time na wewe tena.hapa ndo naumia nikkiiskia ile nyimbo ya Rady J dee IWEJE UWE HISTORIA KABLA SIKU ZAKO HAZIJAFIKA.Leo watu kama chid,Tid,Rayc na huyu daz baba wamekua historia kabla ya muda wao.niliwahi kumuona tabata segerea kitambo kidogo kwenye club moja ya rufita mpaka niliona huruma mixer kawa kama msomali
naye kaanza?Halafu kuna thread ilianzishwa hapa siku moja na kusema kuwa Beni paulo ana jihusisha na madawa! Sikuwai kuamini hizi habari kabisa lakini kuna siku nilimuona hadi leo huwa najiuliza mara mbili...huwa sielewi...! Naomba isiwe kweli daa..
sepetunga yeye anatumia nini?Hakika na kama hawatumii basi wengi wao ni mapunda!
wale rafiki zangu walionisifu kwa maneno matamu leo ni mitusi tu kwa jamiiiii forummmmm.....kweli Diamond nabii mchangaDah,nami niliwahi kutana nae pale rufita bar akiwa kachoka mbaya,mwezi mmoja baabae nilienda singida kijiji kinaitwa MTINKO nikakuta mabango yanayoonesha kwamba wiki mbili nyuma ilikua ni tarehe ya yeye kupiga show,nilisikitika sana mana huku mjini haskiki kabsa kweli nchi yetu kuna watu wakishakutumia ukaishiwa hawana time na wewe tena.hapa ndo naumia nikkiiskia ile nyimbo ya Rady J dee IWEJE UWE HISTORIA KABLA SIKU ZAKO HAZIJAFIKA.Leo watu kama chid,Tid,Rayc na huyu daz baba wamekua historia kabla ya muda wao.
DuuuuO ten a.k.a Filipo Nyandindi hoi mji kasoro Bahari
Dah,nami niliwahi kutana nae pale rufita bar akiwa kachoka mbaya,mwezi mmoja baabae nilienda singida kijiji kinaitwa MTINKO nikakuta mabango yanayoonesha kwamba wiki mbili nyuma ilikua ni tarehe ya yeye kupiga show,nilisikitika sana mana huku mjini haskiki kabsa kweli nchi yetu kuna watu wakishakutumia ukaishiwa hawana time na wewe tena.hapa ndo naumia nikkiiskia ile nyimbo ya Rady J dee IWEJE UWE HISTORIA KABLA SIKU ZAKO HAZIJAFIKA.Leo watu kama chid,Tid,Rayc na huyu daz baba wamekua historia kabla ya muda wao.
we acha tuu kk....na yamewatafuna wengi toka miaka ya tisini.....akina D rob akina fanani nkMaybe wanajaribu kuprove Get Rich or Die Tryin....ilishasemwa, kosa vyote lakini sio hekima!
Fuatilia historia ya madawa yalivyoanza na siri ya chemistry yake yanapoingia kwenye damu ya mtu. Ni hatari mbaya. Ni vitu vya ajabu sana. Yaani ni kama false reality au impersonation. Kosa kubwa kuliko yote kwa hivi vitu ni KUJARIBU. YAakiingia tu kwenye mfumo wa damu baaaaas ndo umekwenda, gear ya reverse ndo inaongeza speed ya kwenda mbele. Kwa muundo na athari yake ni kuwa, ukishatumia unakuwa umeweka rehani afya yako kuyategemea yenyewe ili ufeel "normal" bila kubwia unafeel "severe malaria" au unahisi pain ya kufa mtu. Ukitumia tu unakua "poa". That's a slow death, dying alive!
ACHA KABISA HATA KUTAKA KUJUA TU NGADA INAFEEL VIPI, USIJARIBU. USIJARIBU. USIJARIBU.
Kuna yule msanii wa Wanaume famili, KR Mula na Doro...ukiwaona utalia... nasikia na Young D naye kaanza kuubwia...
Ramji Adolf, namkubali sana huyu nini kimemsibu mzee wa USIULIZEKuna mmoja anaitwa rado alikuwaga anasomea ifm anatokea mwanza alikuwa na nywele ndefu. Dah nilimkuta kinondoni studio aisee nilisikitika sana alivoisha
Madawa hatare sana
Duh yule dem karudisha jezi? Namkumnuka kibonge flani ana wowowo
Yaani huyu ndo ananishangaza kabisa, ana stress za nini cjui, shule anayo, kipaji anacho....ulimbukeni labdaMkuu Ben Pol huyu huyu wa Sophia au mwingine!! Hii ngumu kumeza maana jamaa ana mwili ule ule toka kaingia jwnye hii tasnia. @muuzasura thibitisha hili maana kwenye hii forum ya celebrities nachukua neno lako kama sheria
Yaani huyu ndo ananishangaza kabisa, ana stress za nini cjui, shule anayo, kipaji anacho....ulimbukeni labda
Kwa hapo ameshabusu nge asubiri mrejesho.....Yaani huyu ndo ananishangaza kabisa, ana stress za nini cjui, shule anayo, kipaji anacho....ulimbukeni labda