Labda kakanyaga miwaya.....Kuna siku alihojiwa akasema hatumii kabisa madawa na watu wana mzushia lakini ukimuangalia uhitaji kumpima kugundua...yani kaisha ile mbaya!
Kwanini ulikuja Bagamoyo afu usinitafute kuniamkua?kuna kipindi nilimuona bagamoyo aisee anasikitisha saaana
Nyandu nakataa..hagongi mambo ila anadeal nayo....kwa taarifa yeye ndo alimuokoa byser katika shimo na sasa anapambana kumnusuru young dee
Huyu APA ndo jipu linatakiwa litumbuliwe bongo movie yote kamaliza na bongo fleva
was once working there darlingKwanini ulikuja Bagamoyo afu usinitafute kuniamkua?
yelewii wacha kupotosha jamii... hawa ambao huo unga hawaujui na wanateketea kwa ukimwi...Unga ni mbaya sana, kwanza mjue unga unasababisha UKIMWI. Ndio, mchukue mla unga yeyote aliyekondeana kama daz faza mwalimu kampime ni lazima ukute ana upungufu wa kinga mwilini.
Jiulize kwanini mastaa wengi waliokufa kwa UKIMWI nchini marekani ni wahanga wa unga? Ndio maana mimi siamini ukimwi unaambukizwa na ngono. Ukimwi unatengenezwa na tabia zetu za maisha na HIV haipo. Don't quote me wrong, naamini UKIMWI upo.
Unga ni mbaya sana, kwanza mjue unga unasababisha UKIMWI. Ndio, mchukue mla unga yeyote aliyekondeana kama daz faza mwalimu kampime ni lazima ukute ana upungufu wa kinga mwilini.
Jiulize kwanini mastaa wengi waliokufa kwa UKIMWI nchini marekani ni wahanga wa unga? Ndio maana mimi siamini ukimwi unaambukizwa na ngono. Ukimwi unatengenezwa na tabia zetu za maisha na HIV haipo. Don't quote me wrong, naamini UKIMWI upo.
Kuhusu HIV sikubishii saana kuna siku tulishawahi kaa dokta bingwa wa Kuhusu haya magonjwa nae alitoa kauli kama hii..Huko mbele watu wengi wenye UKIMWI ni gaysInawezekana
Ila ray c mbona hajakonda
Jamani na huyo aliyeonjaa utamu wa Yesu..π΅π΅π΅Rose Muhando.
hKuhusu HIV sikubishii saana kuna siku tulishawahi kaa dokta bingwa wa Kuhusu haya magonjwa nae alitoa kauli kama hii..Huko mbele watu wengi wenye UKIMWI ni gays
hee nani huyu?πππππ
Huyu APA ndo jipu linatakiwa litumbuliwe bongo movie yote kamaliza na bongo fleva
wengi sana wanapigwa nyuma.Hali inatisha kiukweli. ..nipo chimbo kufanya tathmini nije na list ya ukweli ya wanamuziki na vijana maarufu bongo wanaopumuliwa kisogo. .mbaya zaidi wengine wanakula unga na kubokolewa
ni kweli kuna majamaa mtaani hapa wanagombaniana biscuit na watoto dukani.Biskuti na Juisi ndio chakula chao
wanaingia sana tu, jambo likijadiliwa sana humu dongo wanapeleka insta.Hivi wasanii wa mziki au bongo movie huwa wanaingia humu au watu wao wa karibu huwafikishia habari za humu?
marafiki aka kampani.Yaani huyu ndo ananishangaza kabisa, ana stress za nini cjui, shule anayo, kipaji anacho....ulimbukeni labda
wanaingia sana tu, jambo likijadiliwa sana humu dongo wanapeleka insta.