Wasanii wanaodaiwa kutumia madawa ya kulevya, ni yupi anayekusikitisha?

Wasanii wanaodaiwa kutumia madawa ya kulevya, ni yupi anayekusikitisha?

1.DAZ BABA
2.CHID BENZ
3.RAY C
4.LOD EYEZ
5.M.R NICE.
6.ROSE MHANDO
7.TID-MNYAMA
8.RACHEL
9.FEROUZ

10.BEN PAUL
daz%2Bbaba.jpg


**NOTE**
We give very high respect to P FUNK (MAJANI) and Q-CHIEF because they have stopped permanent to use drugs.

TOP TEN(10) DRUG ADDICTED ARTISTS IN TANZANIA (DRUG ADDICTED) - vunja blog

Magufuri OKOA VIJANA HAWA
hivi nn siri ya wasanii kutoka kigoma, mbona hii hawatumii ?
 
Mimi nnachofurahi ni kuona Sir Nature 'Kiroboto' pamoja na uhuni wake wote ila anasema cha Arusha tu kinamtosha
Na viroba original, Maning Nice wakiona huu uzi wataelewa ninachoongea.
Dar-Mtwara hiyo
 
Huku sio kuwasaidia
huku ni kuzidi kuwa abuse
tuendelee kuwaheshimu kwa kujizuia kuwa abuse
kwa kuzidi kuwatangaza na kuwashupalia

Boss na were nasikia cha ARUSHA unakipuliza na rafiki yako waziri mstaafu!!
 
Back
Top Bottom