Usiamini kila kitu cha humu, kuna mengine Ni kweli na mengine ni kuchafuana. Nilichogundua kila mwenye mwili Mdogo au mwembamba basi anahususishwa moja kwa kina na matumizi ya unga hata yupo hivyo toka mwanzo.Kama ni kweli Vanessa Mdee anatumia hizi vitu basi atanisikitisha kuliko wote, nilikuwa namkubali sana na nilivyokuwa namchukulia ni tofauti na wasanii wengine wa kike, sikuwahi kumfikiria anaweza kuwa kwenye huo upande. But lisemwalo lipo....
Daz baba huyu ndo kabaki fuvu tu
Ni kweli siwezi kuamini moja kwa moja, ila naweza kuamini kwa 70%, kwavile mambo mengi ya mastaa kwenye jukwaa hili huwa yanakuja kugundulika baadae kwamba ni kweli, ingawa mwanzoni watu huwa wanapinga sanaUsiamini kila kitu cha humu, kuna mengine Ni kweli na mengine ni kuchafuana. Nilichogundua kila mwenye mwili Mdogo au mwembamba basi anahususishwa moja kwa kina na matumizi ya unga hata yupo hivyo toka mwanzo.
Yani anasikitisha hawa wasanii ulimbukeni unawaponzaDaz alikuwa na kichwa kizima sana...
Yani anasikitisha hawa wasanii ulimbukeni unawaponza
Wametumia kigezo cha uvutaji wa madawa ya kulevya....Wametumia vigezo gani,hadi kuwa group katika TOP TEN
vigezo na masharti yamezingatiwa, hawa hawali unga mchafuWametumia vigezo gani,hadi kuwa group katika TOP TEN
wanahitaji msaada wa hali na mali.. rachel nasikia amechanganyikiwa yupo south africa na ben paul ndio alianza last year ni hatari sana kwa afya1.DAZ BABA
2.CHID BENZ
3.RAY C
4.LOD EYEZ
5.M.R NICE.
6.ROSE MHANDO
7.TID-MNYAMA
8.RACHEL
9.FEROUZ
10.BEN PAUL
**NOTE**
We give very high respect to P FUNK (MAJANI) and Q-CHIEF because they have stopped permanent to use drugs.
TOP TEN(10) DRUG ADDICTED ARTISTS IN TANZANIA (DRUG ADDICTED) - vunja blog
Magufuri OKOA VIJANA HAWA
akwambia amerudia safari hii hatibiwi mpaka atuambie anampa madawaKwani Ray c si ameacha ??
Nifah alikiba ndo anayekutafunaEeh Mungu muepushe Ali Kiba wangu na hili janga.
Amiiin!