Hahahaha wewe bado uko na mimi tu?Nifah alikiba ndo anayekutafuna
Uyoo dgoo bangee nying znamzngua aachee chapWapi Young Daresalama?
Duuu ad vanesaa kwel kaz kwel kwelVii Maney namba ngapi?
Uyoo katoka teyal ana miradiMimi nnachofurahi ni kuona Sir Nature 'Kiroboto' pamoja na uhuni wake wote ila anasema cha Arusha tu kinamtosha
hivi nn siri ya wasanii kutoka kigoma, mbona hii hawatumii ?1.DAZ BABA
2.CHID BENZ
3.RAY C
4.LOD EYEZ
5.M.R NICE.
6.ROSE MHANDO
7.TID-MNYAMA
8.RACHEL
9.FEROUZ
10.BEN PAUL
**NOTE**
We give very high respect to P FUNK (MAJANI) and Q-CHIEF because they have stopped permanent to use drugs.
TOP TEN(10) DRUG ADDICTED ARTISTS IN TANZANIA (DRUG ADDICTED) - vunja blog
Magufuri OKOA VIJANA HAWA
Amerudi kwa speed ya moshi wa tren.Kwani Ray c si ameacha ??
Na viroba original, Maning Nice wakiona huu uzi wataelewa ninachoongea.Mimi nnachofurahi ni kuona Sir Nature 'Kiroboto' pamoja na uhuni wake wote ila anasema cha Arusha tu kinamtosha
Huku sio kuwasaidia
huku ni kuzidi kuwa abuse
tuendelee kuwaheshimu kwa kujizuia kuwa abuse
kwa kuzidi kuwatangaza na kuwashupalia
Wewe jamaa nawe una hatari?Mr Nice si ngwengwe ndio imempukutisha mwili?
Haaaaaa Hatari ipi tena mrembo? Mr 9c akilamba hayo madude Daz Baba atakuwa mnene.Wewe jamaa nawe una hatari?
Dah aisee pole yake ,kama gari limewaka tena hilo halizimikiAmerudi kwa speed ya moshi wa tren.