Wasanii wanaodaiwa kutumia madawa ya kulevya, ni yupi anayekusikitisha?

Hivi wakuu ukiwa unabwia sembe lazima ukonde?naombeni contact inapopatikana nataka kukonda maana nimenenepa kama kibakuli!
 
Hivi wakuu ukiwa unabwia sembe lazima ukonde?naombeni contact inapopatikana nataka kukonda maana nimenenepa kama kibakuli!
Unaweza usikonde ila kama wa kiume ukafanywa kipoozeo na masela
 
Sugu havuti unga
vuti unga
 
"On your own language" Basi sawa umesikika. Unaonaje na wewe ukianza kutumia kiswahili au kilugha chenu kindali ukaachana na yai la Malkia.. Chukua ushauri wako mwenyewe
Umemkosoa ila hujaandika hicho unachoona ni sahihi...umepoteza uhalali wa kumkosoa
 
Dah! Mtinko kwetu mkuu ...vp na ww mwenyeji nn huko?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…