Wasanii wanaodaiwa kutumia madawa ya kulevya, ni yupi anayekusikitisha?

Sababu kuu
.unyamwezi
.wanabebeshwa
.stress..jina kubwa no mshiko
.mkumbo. .mara nyingi ukidate na mvutaji utavuta tu
.kutojiamini katika kugongana. .wanaamini ukivuta unachelewa kufanya kojozi
Nimekukubali Mkuu Hizo sababu ulizotoa,Wasanii wanapapatikiwa sana na watoto wakare wa kishua sasa ili kuwadadisha warembo on bed ndio hapo Wasanii wanadanganyana kwamba ukipiga sembe gemu unakuwa si mchezo saa nzima upo kifuani.
 
Halafu kuna thread ilianzishwa hapa siku moja na kusema kuwa Beni paulo ana jihusisha na madawa! Sikuwai kuamini hizi habari kabisa lakini kuna siku nilimuona hadi leo huwa najiuliza mara mbili...huwa sielewi...! Naomba isiwe kweli daa..
Unakumbuka tulibishana sana?Tena ilikuwa siku ya kuamkia Ramadhan ya mwaka jana.
Nilikuambia jamaa anakula unga ukakataa,ipo siku utaniambia.
 
Nimekukubali Mkuu Hizo sababu ulizotoa,Wasanii wanapapatikiwa sana na watoto wakare wa kishua sasa ili kuwadadisha warembo on bed ndio hapo Wasanii wanadanganyana kwamba ukipiga sembe gemu unakuwa si mchezo saa nzima upo kifuani.
Hahahahaaa mambo mengine bwana?Sasa kuna maana gani ya kupata sifa huku unajimaliza?
Eti saa 1 kifuani!!!
WTF?
 
Unakumbuka tulibishana sana?Tena ilikuwa siku ya kuamkia Ramadhan ya mwaka jana.
Nilikuambia jamaa anakula unga ukakataa,ipo siku utaniambia.
Nakumbuka sana tena sana nilibisha maana sikutegemea na bahati nzuri kuna mtu nilikuwa nimekaa nae akasema jamaa ni teja..daa nilisikitika sana ila kuna siku nilimuona pale FNL(EATV) nilistuka sana na ile hali halafu swali hilo alilikwepa na kusema kifupi ni uzushi....daa sijui shida ni nini? bora aache maana ipo siku atazidiwa
 
Last edited:
Q chillah aliokolewa na haruna niyonzima ndo kidogo sasa ana afadhali ila ingekuwa tushamfukia yeye na ray c wake
Huu ni uthibitisho tosha kwamba wasanii wengi wanabebe sembe kwa njia moja au nyingine mfano ni matonya
Hebu tupe story kidogo Haruna alimuokoaje?
 
Siku nyingine usipende kubisha kitu sababu ya mahaba yako kwa mhusika.
Ile habari niliipata kutoka chanzo cha kuaminika na hata jamaa ukimuangalia ongea yake ni kama teja kabisa.
Kalainiiiiika!
 
Nimeamini kweli sikio la kufa halisikii dawa kuaswa kote wasanii wanavyoaswa kuhusu hatari ya madawa ya kulevya ndio kwanza hata wasiokuwapo kwenye kundi nao wanaingia kundini
 
Siku nyingine usipende kubisha kitu sababu ya mahaba yako kwa mhusika.
Ile habari niliipata kutoka chanzo cha kuaminika na hata jamaa ukimuangalia ongea yake ni kama teja kabisa.
Kalainiiiiika!
Kwakweli Ben kanisikitisha sana!!! Daah ye mwenyewe umbo lake ngada sa kama anatupia basi soon atabaki skeleton ka Daz baba
 
Kufundishwa na tid huyo recho

Young d na tunda
Ray c na lord eyes

Mapenzi na wrong people
Yeah very true..wrong people wrong life!!....yaani ndo inakuwa imetoka ukija stuka is too late na maisha yako yameshaharibika, na hakuna kitu kibaya kama mtu kukuharibia future ( life) aseeee...
 
nifah ni story ndefu hiyo ya niyonzima na q chillah ila kiufupi alimwambia na kumshauri arudi kwenye music halafu kila kitu atasimamia yeye niyonzima na kweli kafanikiwa ila kuna huyu 20% na yeye ni mhanga wa hili tatizo
 
Kufundishwa na tid huyo recho


Young d na tunda

Ray c na lord eyes

Mapenzi na wrong people
Hapo katika red sijakusoma...yani dogo d kafundishwa na tunda?????
au vice versa

Kama kweli basi dogo d ni zaidi ya limbukeni..list hapo inaonyesha boys ndo wanawaponza girl's,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…