Wasanii wanaojieleza vizuri kwenye interview hawa

G
Gigy money
 
jameni umemsahau kiboko yao, anajieleza vizuri sanaaaaaaaaaa
 
Kwa Daimond Umeharibu, alimtukana diva kwe show ya xxl sasa hapa anakujaje.
 
Nilidhani ni mimi peke yangu hadi nikawa nahisi labda namwonea wivu.
Lakini in general ananiboa kujifanya anajua kila kitu.
Aisee tuko wengi Mkuu , full kujifanya mzee wa consciousness, mara ye ndo anajua mambo ya future. Yule simsikilizagi kabisaa kwenye interviews
 
Jaman lina nae yupo vzur huwa napenda anavyofunguka hafichifichi
 
T. I. D napenda interview zake anaburudisha sanaaaa jinsi anavyojib maswali.
 
Na jamaa anajitahidi sana kuongea kiswahili fasaha
 
Jackline wolper, napendaga akiwa kwenye interview anajitahidi kuongea ukweli sio kama kiandunje, kinakana hakina bwana kesho yake kinafiwa na bwana
 
Kwa maoni yangu hapo labda ni Fid Q, Barnaba, Ay, Lady JD na Pr. Jay. Ungemweka Jay Mo, Blue ningeshawishika kukubali kidogo
 
ebu tafuteni interview za WAKAZI....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…