Huyo jamaa anaitwa Nasry...mkali sana huyo jamaa...kuna jamaa aliimbaga hizi nyimbo 'nini' na 'everyday'...hata jina lishianitoka...
Hata huku kwenye social media sio kwepesi hivyo..unadhan hawa akina foby hawapo insta, youtube na fb?Unaposema promo unamaanisha nyimbo kupigwa kwenye radio na tv?
Kama ni hivyo basi hao wasanii uliowataja naona wamezubaa wenyewe tu, social media ndio njia sahihi ya kufanya promo kuliko radio na tv kwa sasa.
Si unaona jinsi mobeto anavyofanyiwa promo na mange mpaka video kuwa #1 on trending kwenye youtube? Au WCB.
So washauri hao wanamuziki watafute strategy nzuri ya kufanya promo kwenye social network na sio radio na tv.
huyu idara anayoiwezea ni udangajiHamisa Mobetu.
Kitanda songHuyu Foby ni hatari sana
Huyo jamaa anaitwa Nasry...mkali sana huyo jamaa...
Kuna siku nikawaza ile NINI angeimba Kiba au Diamond ingekuwa kubwa kiasi gani??
Dizasta ni wamoto kushinda juaDizasta vina
Dizasta ni wamoto kushinda jua
Kuna njia kama laki za wewe kufa/"unaniletea zawadi toka majuu,
kuna wenzio niliwaacha na walinichora tattoo, hatari san
HarmorapaFoby...
Huyu jamaa ana ngoma kali.. yaani zotee ni konki ukiongeza na hii ya juzikati "niokoe "..sema jamaa hapewi promo kubwa..
Ibrahnation....
Huyu jamaa katika watu ambao hawana bahati ni huyu mchizi ila siku hizi ameanza kueleweka na pia wasafi Festival atakuwepo..
nedy music...
huyu mpemba anakuwaga yupo yupo tuu ila jamaa yuko vizuri sanaa yaani konki.. tatizo promo tuu..ile ngoma "nishalewa "Ilibidi iwe wimbo wa taifa sema ndo hivyo yaani...
The mafik....
Katika makundi yaliyopo sasa hivi.. huwezi kuwaacha the mafik.. jamaa wana hits kibao.. Kama dodo. Carola, passenger.. na zingine kibwena yaani.. ila ni promo tuu
Wengine ongezeeni..
Kama ulisoma nilichokiandika kuna na kunielewa kuna sehemu niliandika kuwa.Hata huku kwenye social media sio kwepesi hivyo..unadhan hawa akina foby hawapo insta, youtube na fb?
Wakati mwingine huwa naamini ni suala la muda tu..muda ukifika mtu atatoboa tu kikubwa ni kuendelea kufanya kazi nzuri...
Mkuu unafikiri strategy gani inaweza saidia kupush kazi ya msanii husika...Kama ulisoma nilichokiandika kuna na kunielewa kuna sehemu niliandika kuwa.
"hao wanamuziki watafute strategy nzuri ya kufanya promo kwenye social network"
Kwa hiyo swala si tu kuwa na social netwoks account swala unatumia vp (strategy) kuipa promo kazi zako.
Hyo ngoma n kali kinoma kuna jamaa wana uwezo kuliko hawa mainstreamKitanda song
Nasry kapotelea wapi?uliwaza vizuri... ingekua kubwa sanaaa... good music wabongo hawazimikii sana... ndio maana hadi kina navy kenzo na maua sama wameamua kuimba ush*nzi na kweli wame hit..