Wasanii wanaoongoza kuzitambulisha sehemu walikotoka/wanakoishi

Wasanii wanaoongoza kuzitambulisha sehemu walikotoka/wanakoishi

Imekuwa mara nyingi watu wa jamii fulani wakijisifia pale mtu kutoka jamii yao anapokuwa maarufu kwa usanii au mengineyo....But sio wasanii wote walioweza kuzitambulisha sehemu wanazotoka....Wapo waliozitambulisha sehemu/Mitaa wanayoishi na wapo wale waliotambulisha sehemu walikozaliwa....Kwa haraka haraka wasanii ninaowakumbuka waliotambulisha sana maeneo yao ni hawa...

1. Juma Nature na Wanaume TMK - Temeke
Hawa jamaa walifanya temeke ijulikane Tanzania nzima...Kiasi watu wengi wa mikoani waliifahamu Temeke huku wengine wakiwa hata hawajui wilaya za mikoa yao....Jamaa waliwakilisha sana Temeke...

2. Crazy GK na East Coast - Upanga
Hawa nao walijitahidi kuitambulisha Upanga. Japo hawakufikia level ya TMK...Na watu wazima wenangu watakuwa wanakumbuka ushindani uliokuwepo baina ya makundi haya mawili...

3. Diamond Platnumz - Tandale
Dah jamaa kaiwakilisha sana Tandale...Mpaka nje ya Tanzania wanaijua Tandale... Baadhi ya wakenya huko wanadhani Tandale ni bonge la sehemuuuu........

4. Mangwea na Chamber Squad - Dom
Jamaa hawa nao waliipaisha Dodoma kimtindo...

5. Shilole - Igunga
Bibie naye hayupo nyumba kuiwakilisha Igunga..Huenda akizidisha vituko Igunga itakuwa maarufu sana siku zijazo....

6. Joh Makini na Weusi - A-town
Haya machalii ya Arusha nayo yanawakilisha vema pande zile....A-town imekuwa ikitrend sana haswa kama mji wa hip hop flani hivi....Wanajitahidi

7. Wagosi wa Kaya - Tanga
Wimbo maarufu wa Tanga kunani na lafudhi zao ziliifanya Tanga pia kujulikana kuwa kuna wasanii...Sijui siku hizi wapo wapi hawa jamaa....Huenda muda umewatupa mkono

8. Afande Sele na Stamina Sharo Bweeenz - Moro
Jamaa nae wameiwakilisha sana Moro town...

9. Fid Q aka Ngosha - Mwanza
Dah huyu jamaa sijui nilimsahau vipi....Ameweza sana

Kwa haraka haraka nnaowakumbuka ni hao...Wewe unadhani ni nani amewakilisha kitaa chake/ home town yake vya kutosha na kuifanya ikajulikana ....Karibuni
Kasim Mganga = Manza bay
 
Imekuwa mara nyingi watu wa jamii fulani wakijisifia pale mtu kutoka jamii yao anapokuwa maarufu kwa usanii au mengineyo....But sio wasanii wote walioweza kuzitambulisha sehemu wanazotoka....Wapo waliozitambulisha sehemu/Mitaa wanayoishi na wapo wale waliotambulisha sehemu walikozaliwa....Kwa haraka haraka wasanii ninaowakumbuka waliotambulisha sana maeneo yao ni hawa...

1. Juma Nature na Wanaume TMK - Temeke
Hawa jamaa walifanya temeke ijulikane Tanzania nzima...Kiasi watu wengi wa mikoani waliifahamu Temeke huku wengine wakiwa hata hawajui wilaya za mikoa yao....Jamaa waliwakilisha sana Temeke...

2. Crazy GK na East Coast - Upanga
Hawa nao walijitahidi kuitambulisha Upanga. Japo hawakufikia level ya TMK...Na watu wazima wenangu watakuwa wanakumbuka ushindani uliokuwepo baina ya makundi haya mawili...

3. Diamond Platnumz - Tandale
Dah jamaa kaiwakilisha sana Tandale...Mpaka nje ya Tanzania wanaijua Tandale... Baadhi ya wakenya huko wanadhani Tandale ni bonge la sehemuuuu........

4. Mangwea na Chamber Squad - Dom
Jamaa hawa nao waliipaisha Dodoma kimtindo...

5. Shilole - Igunga
Bibie naye hayupo nyumba kuiwakilisha Igunga..Huenda akizidisha vituko Igunga itakuwa maarufu sana siku zijazo....

6. Joh Makini na Weusi - A-town
Haya machalii ya Arusha nayo yanawakilisha vema pande zile....A-town imekuwa ikitrend sana haswa kama mji wa hip hop flani hivi....Wanajitahidi

7. Wagosi wa Kaya - Tanga
Wimbo maarufu wa Tanga kunani na lafudhi zao ziliifanya Tanga pia kujulikana kuwa kuna wasanii...Sijui siku hizi wapo wapi hawa jamaa....Huenda muda umewatupa mkono

8. Afande Sele na Stamina Sharo Bweeenz - Moro
Jamaa nae wameiwakilisha sana Moro town...

9. Fid Q aka Ngosha - Mwanza
Dah huyu jamaa sijui nilimsahau vipi....Ameweza sana

Kwa haraka haraka nnaowakumbuka ni hao...Wewe unadhani ni nani amewakilisha kitaa chake/ home town yake vya kutosha na kuifanya ikajulikana ....Karibuni

#1.
"Hata Patcho pia ni Mwamba
Ila bado anakata mauno,
Kaskazini bila #TANGA
Ni Msondo bila Gurumo.

#2.
"Iwe kwa RAHALEO au Simba_Mtoto #TANGA_MTAKUJA",

#3.
" #TANGA Mmekosa nini
Hebu acheni umwinyi,
Hawa Wachaga Hawatuwezi
Ona Mankabala20"

#4.
"Akifa anaomba azikwe #TANGA na Mje kwa Shambalai",

#5.
" Bandari Chali,
Railway Chanu
Makamba iinue Katani,
Zitto akirogea Kasulu,
Si tunamrogea #PANGANI(TANGA).

#6.
#TANGA_MIKONO Juu,
U KNOW #TANGA IZ MA' HOOD ...."

#7.
"Kutabiri nani ashinde
Karibuni #TANGA_KUNANI
Huku hatuhitaji Kakakuona
Wala Pweza wa Ujerumani!"

_______________________
HIZO NI BAADHI TU YA QUOTATIONS ZA
#R.O.M.A
ANAVYOIPROMOTI #TANGA,
KUTOANZA NA HUYU JAMAA KWENYE ORODHA YAKO INADHIRISHA HAUKO MAKINI NA UNACHOKIWASILISHA!
 
Linex- kigoma/kiha. Mwingine ni huyu Fredinho kila wimbo akiimba lazima ataje Dubai.
Kweli kabisa mkuu yaani @Linex hajawahi kuimba wimbo bila kutumia lugha yao ya asili huwa ninamkubali sana huyu dogo kwa tungo zake na jinsi anavyoienzi vizuri Kigoma yao.
 
Kweli kabisa mkuu yaani @Linex hajawahi kuimba wimbo bila kutumia lugha yao ya asili huwa ninamkubali sana huyu dogo kwa tungo zake na jinsi anavyoienzi vizuri Kigoma yao.

Dah yani huyu jamaa najua wimbo wake mmoja tu...Salima
 
Dah yani huyu jamaa najua wimbo wake mmoja tu...Salima
Kwa sababu aliimba na baba Tifa nini?
ila ana ngoma kali sana huyu kijana kuna moja ya kuitwa Ngekewa ,halafu kuna ile ya kuitwa subira
Nikiwa stressed huwa napenda sana kuzisikiliza hizo nyimbo zake.
 
Kwa sababu aliimba na baba Tifa nini?
ila ana ngoma kali sana huyu kijana kuna moja ya kuitwa Ngekewa ,halafu kuna ile ya kuitwa subira
Nikiwa stressed huwa napenda sana kuzisikiliza hizo nyimbo zake.

Ngoja nizitafute
 
Imekuwa mara nyingi watu wa jamii fulani wakijisifia pale mtu kutoka jamii yao anapokuwa maarufu kwa usanii au mengineyo....But sio wasanii wote walioweza kuzitambulisha sehemu wanazotoka....Wapo waliozitambulisha sehemu/Mitaa wanayoishi na wapo wale waliotambulisha sehemu walikozaliwa....Kwa haraka haraka wasanii ninaowakumbuka waliotambulisha sana maeneo yao ni hawa...

1. Juma Nature na Wanaume TMK - Temeke
Hawa jamaa walifanya temeke ijulikane Tanzania nzima...Kiasi watu wengi wa mikoani waliifahamu Temeke huku wengine wakiwa hata hawajui wilaya za mikoa yao....Jamaa waliwakilisha sana Temeke...

2. Crazy GK na East Coast - Upanga
Hawa nao walijitahidi kuitambulisha Upanga. Japo hawakufikia level ya TMK...Na watu wazima wenangu watakuwa wanakumbuka ushindani uliokuwepo baina ya makundi haya mawili...

3. Diamond Platnumz - Tandale
Dah jamaa kaiwakilisha sana Tandale...Mpaka nje ya Tanzania wanaijua Tandale... Baadhi ya wakenya huko wanadhani Tandale ni bonge la sehemuuuu........

4. Mangwea na Chamber Squad - Dom
Jamaa hawa nao waliipaisha Dodoma kimtindo...

5. Shilole - Igunga
Bibie naye hayupo nyumba kuiwakilisha Igunga..Huenda akizidisha vituko Igunga itakuwa maarufu sana siku zijazo....

6. Joh Makini na Weusi - A-town
Haya machalii ya Arusha nayo yanawakilisha vema pande zile....A-town imekuwa ikitrend sana haswa kama mji wa hip hop flani hivi....Wanajitahidi

7. Wagosi wa Kaya - Tanga
Wimbo maarufu wa Tanga kunani na lafudhi zao ziliifanya Tanga pia kujulikana kuwa kuna wasanii...Sijui siku hizi wapo wapi hawa jamaa....Huenda muda umewatupa mkono

8. Afande Sele na Stamina Sharo Bweeenz - Moro
Jamaa nae wameiwakilisha sana Moro town...

9. Fid Q aka Ngosha - Mwanza
Dah huyu jamaa sijui nilimsahau vipi....Ameweza sana

Kwa haraka haraka nnaowakumbuka ni hao...Wewe unadhani ni nani amewakilisha kitaa chake/ home town yake vya kutosha na kuifanya ikajulikana ....Karibuni
wakazi...stakishari ukonga ....jamaa naye anajitahidi
 
.....Joooooooos Mtambooooo;mtoto wa Kigambooo-nino!
...Banza Stone(R.I.P)-Sinza kwa Wajanja!
 
shilole & diamond kwa sasa wametisha sana
 
Hivi hakuna muwakilishi wa MOSHI?
Moshi alikuwepo yule wa Chuwa alikuwepo,Mushi alikuwepo,Tesha nae alikuwepo,ni jinsi gani tutawini maishani,mpaka siku tunasema buriani,Hata sijui alipotelea wapi!
 
Back
Top Bottom