Wasanii wanaoongoza kuzitambulisha sehemu walikotoka/wanakoishi

''Maadui wapo kimbiji / Na ninja Nimeaga TANGA Nakata Boda La Msumbiji oooii'' - ROMA...
NIMESHANGAA JAMAA ALIVYOMSAHAU NINJA... Yaani bila kumpataja Roma huu uzi ni pointless
 


Mkuu nimewataja waliokuwa na impact na kuzifanya sehemu zao kuwa maarufu....Huyo Roma ana fan base ndogo sana kiasi kwamba hata hicho ulichokiandika wengi wa wasomaji hapa ndio kwanza wamekijua hapa kwako....So anaweza kutaja wimbo mzima Tanga, Tanga, Tanga na bado ikawa haina impact.........
 
Unaumwa wewe!!
 
Hivi inamaana bukoba hakuna msanii yoyote!?
 

Young killer pia anaiongelea sana Mwanza
 
''Maadui wapo kimbiji / Na ninja Nimeaga TANGA Nakata Boda La Msumbiji oooii'' - ROMA...
NIMESHANGAA JAMAA ALIVYOMSAHAU NINJA... Yaani bila kumpataja Roma huu uzi ni pointless

#8.
"NIMEKUNYWA MAJI YA BENDERA,
MGONGONI NAIBEBA #TANGA."

R.O.M.A TENA.
 

MKUU

KWA HOJA HII
BILA SHAKA WEWE NI KADA WA "NYINYIEM."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…