Wasanii Wanatumia Program Gani Kuweka Wimbo Unaimba Huku Kama CD Inazunguka na Equalizer Zinapanda na Kushuka Wakuu?

Wasanii Wanatumia Program Gani Kuweka Wimbo Unaimba Huku Kama CD Inazunguka na Equalizer Zinapanda na Kushuka Wakuu?

Niache Nteseke

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2020
Posts
2,162
Reaction score
2,616
Heshima kwenu wakuu.

Hivi, unaweza ukakuta Wimbo umewekwa You Tube lakini sio video, utakuta kama CD Inazunguka hivi halafu kuna jina la Wimbo pembeni na jina la Msanii husika huku Equalizer zinapanda na kushuka.

Huwa wanatumia program gani wadau? Na pia je, huwa ni kwa kutumia simu, computer au vyote vinaweza kufanya hiyo kazi...?

Naomba mwenye kuelewa hii kitu anieleweshe wadau najua JF haijawahi kuishiwa katika nyanja tofauti haswa Technology wakuu.

NAWASILISHA.
 
Heshima kwenu wakuu.

Hivi, unaweza ukakuta Wimbo umewekwa You Tube lakini sio video, utakuta kama CD Inazunguka hivi halafu kuna jina la Wimbo pembeni na jina la Msanii husika huku Equalizer zinapanda na kushuka...
Kazi za watu hizo unauliza ujibiwe kirahisi tu ? Lipia watu wakufanyie hata hao wasanii wanawekewa
 
Kazi za watu hizo unauliza ujibiwe kirahisi tu ? Lipia watu wakufanyie hata hao wasanii wanawekewa

Mkuu, kuna wakali hapa JF hawana njaa ndogo ndogo kama hizo na nakuhakikishia wapo wadau wataweka maelekezo juu ya hili ni suala la muda tu.

Vuta pop corn and coke wait and see.

Merry Christmas brother.

🎄
 
Mkuu, kuna wakali hapa JF hawana njaa ndogo ndogo kama hizo na nakuhakikishia wapo wadau wataweka maelekezo juu ya hili ni suala la muda tu...
Tatizo wakali wanaoweza kukujibu siku hizi hawapo jfm, ukweli miaka ya nyuma tulienjoy sana ulikuwa unauzo wa kuuliza swali linalohusiana na maswala ya kitecnology na ukajibiwa zaidi ya kugoogle lakini siku hizi wamejaa wabun CD tu, ma IT wa kweli washapotea
 
Tatizo wakali wanaoweza kukujibu siku hizi hawapo jfm, ukweli miaka ya nyuma tulienjoy sana ulikuwa unauzo wa kuuliza swali linalohusiana na maswala ya kitecnology na ukajibiwa zaidi ya kugoogle lakini siku hizi wamejaa wabun CD tu, ma IT wa kweli washapotea

Unachosema ni sahihi mkuu. Na ndio hao hao kazi ndogo tu mtu anataka hela wakati ni suala la kulekezana tu kiongozi.

Hatari sana...!
 
Chukua hata simu yako,padua hii app harafu twende wote sasa
images.jpeg-6.jpg
 
Back
Top Bottom