Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
Kama huna uzoefu na pc tumia powerpoint ni rahisiHeshima kwenu wakuu.
Hivi, unaweza ukakuta Wimbo umewekwa You Tube lakini sio video, utakuta kama CD Inazunguka hivi halafu kuna jina la Wimbo pembeni na jina la Msanii husika huku Equalizer zinapanda na kushuka...
Kama huna uzoefu na pc tumia powerpoint ni rahisi
Feature husika inaitwa morph
Powerpoint ya office 365 ni nzuri zaidi
Ndio kama una office 365, sema itakuboa sababu ui si rafiki kwenye simu, angalau ungekua na Tablet.Mkuu chief hii naweza kuifanyia hata kwa kutumia PPT ya kwenye simu mkuu...?
Ndio kama una office 365, sema itakuboa sababu ui si rafiki kwenye simu, angalau ungekua na Tablet.
Fl studio ndo unyama zaidi ina plugin ya kufanyia hiyo makituHeshima kwenu wakuu.
Hivi, unaweza ukakuta Wimbo umewekwa You Tube lakini sio video, utakuta kama CD Inazunguka hivi halafu kuna jina la Wimbo pembeni na jina la Msanii husika huku Equalizer zinapanda na kushuka...
Ukiwa na Aveeplayer+Kinemaster+PicsArt+Pixel lab+your talent ya kubuni na kupangilia kitu kwenye simu, ni kazi rahisi mno
hata simu inaweza Washa mziki kwa player unayoona inaweza kuweka picha kama ya CD,,,, washa screen recorder acha nyimbo iimbe hadi mwisho.. stopisha sreen record chukua hiyo video nenda nayo hata inshot alafu crop size unayotaka. Toa sauti ya video weka audio yenye quality save kazi imekamilikaHeshima kwenu wakuu.
Hivi, unaweza ukakuta Wimbo umewekwa You Tube lakini sio video, utakuta kama CD Inazunguka hivi halafu kuna jina la Wimbo pembeni na jina la Msanii husika huku Equalizer zinapanda na kushuka...
Virtual DjHeshima kwenu wakuu.
Hivi, unaweza ukakuta Wimbo umewekwa You Tube lakini sio video, utakuta kama CD Inazunguka hivi halafu kuna jina la Wimbo pembeni na jina la Msanii husika huku Equalizer zinapanda na kushuka.
Huwa wanatumia program gani wadau? Na pia je, huwa ni kwa kutumia simu, computer au vyote vinaweza kufanya hiyo kazi...?
Naomba mwenye kuelewa hii kitu anieleweshe wadau najua JF haijawahi kuishiwa katika nyanja tofauti haswa Technology wakuu.
NAWASILISHA.
Hahaha eti wabun CD tu[emoji3].Tatizo wakali wanaoweza kukujibu siku hizi hawapo jfm, ukweli miaka ya nyuma tulienjoy sana ulikuwa unauzo wa kuuliza swali linalohusiana na maswala ya kitecnology na ukajibiwa zaidi ya kugoogle lakini siku hizi wamejaa wabun CD tu, ma IT wa kweli washapotea
ndio mkuu