Mashairi ya Skide kuntu sana lazima ucheke tatizo mibange na mipombe inamuharibuKuna jamaa anaitwa Pasha.. He's so good asee kwenye mashairi ya mahaba. Kuna Dogo mmoja anaitwa S Kide. Yule dogo with sincerely heart Nakubali anakipaji kikubwa cha kutunga mashairi kwa kufuata urali wa vina na mizani. Tatizo dogo kaweka Uhuni/Usela nnya na Bangi mbele..
Kama kuna mtu yupo karibu nae amshauri abadirike kwa kipaji kile sio wa kuimba upuuzi ule (Japo namsikiliza hvo hvo (
S Kide Mtoto wa Mama Shamte...Kuna jamaa anaitwa Pasha.. He's so good asee kwenye mashairi ya mahaba. Kuna Dogo mmoja anaitwa S Kide. Yule dogo with sincerely heart Nakubali anakipaji kikubwa cha kutunga mashairi kwa kufuata urali wa vina na mizani. Tatizo dogo kaweka Uhuni/Usela nnya na Bangi mbele..
Kama kuna mtu yupo karibu nae amshauri abadirike kwa kipaji kile sio wa kuimba upuuzi ule (Japo namsikiliza hvo hvo (
Vigezo vyangu
A. Mashairi
B. Ujumbe
C. Heshima ndani ya Mashairi
D. kucheza na jukwaa
E. Muda wa Mziki wake kudumu
Hizo index mbele zimetokana na Calculator ambayo imeshusisha umri wa wasikilizaji, kukubalika, muda wake kudumu, Rate ya vyombo vya habari kumkuza mtu nje ya uhalisia.
1. Dr Remmy Ongalla ......6869.8
2. Juma Nature ....... 6586.2
3. Professor Jay. ......6578.02
4. Lady Jay dee......6576
5. Mzee Yusuph ..... ..6389
6. James Dandu....... 6286
7. Saida Karoli. .......6133
8. Fid Q .....6086
9. Mandojo na Domokaya .......5978
10. Albert Ngwair......... 5833
11. Ali Kiba..........5792
12. Mwana FA .......5581
13. Hard Mad ......5433
14. Diamond ........5380
15. Ray C............5332
16. Lord Eyes (Nako 2 Nako) .....3726
17. Ambwene Yesaya. ....3691
18. Banza Stone......3531
19. Christian Bella. .....3422
20. Ferooz..........3328
Mkuu hadi wewe unamjua huyu bwa mdogo 😂S Kide Mtoto wa Mama Shamte...
Vigezo vyangu
A. Mashairi
B. Ujumbe
C. Heshima ndani ya Mashairi
D. kucheza na jukwaa
E. Muda wa Mziki wake kudumu
Hizo index mbele zimetokana na Calculator ambayo imeshusisha umri wa wasikilizaji, kukubalika, muda wake kudumu, Rate ya vyombo vya habari kumkuza mtu nje ya uhalisia.
1. Dr Remmy Ongalla ......6869.8
2. Juma Nature ....... 6586.2
3. Professor Jay. ......6578.02
4. Lady Jay dee......6576
5. Mzee Yusuph ..... ..6389
6. James Dandu....... 6286
7. Saida Karoli. .......6133
8. Fid Q .....6086
9. Mandojo na Domokaya .......5978
10. Albert Ngwair......... 5833
11. Ali Kiba..........5792
12. Mwana FA .......5581
13. Hard Mad ......5433
14. Diamond ........5380
15. Ray C............5332
16. Lord Eyes (Nako 2 Nako) .....3726
17. Ambwene Yesaya. ....3691
18. Banza Stone......3531
19. Christian Bella. .....3422
20. Ferooz..........3328
Diamond kuwa chini ya Alikiba
Basi list nzima ni ya ovyo
??????Juma nature
J more
Prof j
Hard mad
Mwana F.a
Ay
Ferooz
Inspector (Babu)
Kali p
Mchizi mox
Jose mtambo
Mr Paul
Solo thang
Afande sele
Tid
Kumbe!Nimeipenda,ila Fid Q ungempa namba mbili,Mwana FA namba tatu,halafu wengine wafuatie.
Ushaniona wa kishua fulani siyo wakina S Kide na Msaga Sumu siwezi kuwajua?Mkuu hadi wewe unamjua huyu bwa mdogo [emoji23]
Ah mi nakuona kishua sana plus ma-knowledge uko nayo naona ni ardhi na mbingu kujua hizi mambo. umewazidi baba zangu akina nshomile.Ushaniona wa kishua fulani siyo wakina S Kide na Msaga Sumu siwezi kuwajua?
Ukiniona ngoma ya kumtoa mwali Chanika nacheza ngoma kama mjomba, halafu ukaambiwa yule ndiye Kiranga, huwezi kuamini!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakwenda na mazingira. Ukinikuta Maneromango utashangaa.Ah mi nakuona kishua sana plus ma-knowledge uko nayo naona ni ardhi na mbingu kujua hizi mambo. umewazidi baba zangu akina nshomile.
Tatizo mkuu Kiranga PM unakula buyu kupata ushauri kutoka kwako mambo kadhaa.
Bado najiuliza kawapataje hao 20.Msanii hapo ni Prof jay Tu, akifuatiwa na Remy Ongala , hao ndo legends...
1.Prof Jay
2.Mwana FA
3.Banza Stone
4.Jay Mo
5.TX Mosh william
6.Afande Sele
7.Solo Thang.
8.Ngwair
9.Nature
10. Lady jay dee
1.Prof Jay
2.Mwana FA
3.Banza Stone
4.Jay Mo
5.TX Mosh william
6.Afande Sele
7.Solo Thang.
8.Ngwair
9.Nature
10. Lady jay dee
Asa kama mashairi unamuachaje 20 per, asilimaire, twenti pasenti, alwatan 20%
Alipendwa kwa wakubwa na wadogo, kila kinu alichotoa ilikuwa mshiki mshike.
Huyu mwamba baada ya tuzo zake tano za kili akapotelea Moro mazima.
kaka bangi unaisingizia hapo mbona wengi tunavuta na hatuna mawenge ya uhuni, Ganja ni kama silaha inatumika kulinda na pia inatumika kuvamia.Kuna jamaa anaitwa Pasha.. He's so good asee kwenye mashairi ya mahaba. Kuna Dogo mmoja anaitwa S Kide. Yule dogo with sincerely heart Nakubali anakipaji kikubwa cha kutunga mashairi kwa kufuata urali wa vina na mizani. Tatizo dogo kaweka Uhuni/Usela nnya na Bangi mbele..
Kama kuna mtu yupo karibu nae amshauri abadirike kwa kipaji kile sio wa kuimba upuuzi ule (Japo namsikiliza hvo hvo (