mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 11,005
- 20,805
Professor J ni wa kulinganisha na remmy?Msanii hapo ni Prof jay Tu, akifuatiwa na Remy Ongala , hao ndo legends...
Hafiki hata robo ya remmy ongala.
Remmy anapiga gitaa huku akiimba nyimbo zenye ujumbe mzuri na hisia Kali kabisa.
Professor J anapiga chombo gani ktk mziki?