Wasanii wazuri kwenye "the art of story telling" kibongo bongo

Wasanii wazuri kwenye "the art of story telling" kibongo bongo

1. Prof J ft Ferooz sikumbuki jina lanyimbo
2. Mwana Fa hakuonekana anabinti
3. Soggy Dog hii story
4. Mandojo na domokaya
5. Mh Temba side mnyamwenzi nk
6. Crazy gk sauti ya manka
Wako wengi sema saiz game imebadilika na utungazi wa mashairi umebadilika sana.
Huyo Temba mpaka leo anapiga hizo ngoma najua ngoma yake ya "mtaalam wa dar" kaitoa juzijuzi tu yani kiufupi mi ngoma hizi za storytelling yani nazipenda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Soma vzuri nimeandika story telling ilizoeleka sana kwa wana hiphop lakini hapa kwetu kiba ndo anaifanya to the fullest mkuu.
Tatizo lipo hapo kwenye of all time!!...yaani wa muda wote!!?...una umri gani mkuu!!?....usije kuwa umezaliwa 2005!!
 
Back
Top Bottom