prince john john
JF-Expert Member
- Aug 31, 2016
- 2,184
- 3,369
Uyo mwenye tisheti nyeusi ni member wa humu JF kabisa
Ukisoma huku umejiandaa kupinga huwezi kuelewa... anazungumzia ushogaAta sijaelewa
Nimependa username mda wa kuchoma unishtue.Tunaomba orodha bila kusahau ambatanisha na picha zoa tafadhali
Hahahah naona vita mpya kati ya tmk na wale wa iki (ilala kinondoni)Tamaa ya kupenda starehe na anasa bila kujali kiasi kilichopo Mfukoni/Mkononi mwako, ndio chanzo kikubwa cha laana yote...!
Vijana wa Ilala na Kinondoni wanapenda vizuri na vya gharama, bila kutoka/kuvuja Jasho...!
Wacha wachanwe Marinda tu..
Vijana TMK tutakufa na Shida zetu.
Jemsi delishazi
We ni mwalimu wa somo gani hapo shuleni?Ushahidi wako ni wakuona, kuambiwa, kushiriki au kushirikishwa?
Kama ni wa kuona tupia kapicha au angalau sema uliwaona kina nani wakifanya nini!
Kama ni wa kuambiwa aliyekuambia mwambie akamwambie afande mambosasa au siiro!
Kama ulishiriki eleza kipengele cha ushiriki wako kama muhusika.
Kama ulishirikishwa basi tutajie aliyekushawishi ukashirikishwaje na kisha baada ya tukio ulijisikiaje!?
Nini ushauri wako kwa jamii.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nimependa username mda wa kuchoma unishtue.
Ndia maana wanaakili ndogoMkoa wa Dar es salaam, vuguvugu la vyama vingi lilitokea Temeke. Kama hiyo hutaki, miaka 21 iliyopita, wakazi wa Temeke walichagua mbunge kutoka chama cha upinzani kipindi hiyo huko kwenu bado wanavaa magwanda ya kijani mnaimba vyama vingi vitaleta vita.