Wasanii wetu na mtego wa tuzo za kimataifa

Wasanii wetu na mtego wa tuzo za kimataifa

Mkuu, tatizo Kiba alijiharibia mwenyewe kwa kujifanya supastaa na mjuaji. unakumbuka wakati Diamond anazipata tuzo, yeye alikuwa anaziponda. alikuwa anajitapa kuwa yeye ni mkubwa kuliko tuzo.

hii maana yake nini, maana yake ni kwamba kiba alionyesha dharau kuwa tuzo si lolote. kwa hiyo haishangazi hata inapotokea leo anapata yeye wengine tunamshangaa, kulikoni leo na yeye naona tuzo ni tamu wakati mwenzie anazipata yeye alizipondea.

afterall, Mi linapokuja suala la tuzo, kwa Diamond ndo huwa nafuatilia na kutilia maanani zaidi, kwa sababu Diamond yeye alionyesha kuzijali tangia mwanzo.

ndo ushangae sasa, kiba pamoja na kuziponda tuzo na kujiona yeye ni mkubwa kuliko tuzo, leo anadiriki kwenda kujaza fomu ili apate tuzo. sasa hayo majigambo yake leo kiko wapi.?

binafsi nikisikia kiba kapata tuzo hata huwa sifuatilii kwa sababu ya jeuri yake, ila akipata Diamond hata kama ni uchochoroni lazima niishadadie.
Eboooo mbona lawama namna hii kama mawifi.

Alisema hataki tuzo mkalalama humu.

Oke amekubali kushiriki kwenye tuzo na kujaza fomu mmekuja tena kulalama humu...ebooooo
 
Povu la nini ulitaka hata tuzo la chipukizi apewe wizkid? Mh mbona wizkid alipewa tuzo kwa nafasi yake tecno nae alipewa kwa wimbo wa mwaka duro we ulitaka kila kitu wapewe wao, akili zako unazijua mwenyewe
 
Pole sana naona ile ya sound city aliyoshinda kiba imekuuma sana?? Mbona mondi kashinda sana na hamkutoa tathmini hzo??
Watanzania tu wanafiki sana,miaka miwili ilopita tulikua tukiomba tuwe na wasanii wengi wa kutuwakilisha kimataifa baada ya diamond kuwa peke yake,amekuja kiba anajitahidi anashinda tunzo mbalimbali lakini cha kushangaza kuanzia media,blogs na watanzania tumemsusa utadhania Ali kiba ni mkenya ndo kwanza tunaendesha kampeni za kumvunja moyo
Swali langu,Mlitaka diamond pekee ndiye ashinde hizo tunzo??
Sijamzungumzia Kiba nimezunguamzia tuzo na wasanii wetu wote.

Kama unaamini Kiba anakubalika sana Naija mpaka kupewa tuzo huko its ok.
 
Sema msanio wako ndo haitwi kwenye show...hujaona show za diamond..mayote..malawi..marekan..austria na canada? Au roho mbaya tu
Lakini haiwezi kuwa sawa na Wizkid akija bongo au? Ila afadhali ya Diamond amepiga hatua fulani kiasi.
 
unasikiliza station zipi za nje ukakuta nyimbo zetu hazipigwi?
Nimeskiza nyingi tu za nje ya east africa siskii nyimbo zetu. Zinasikika chache mno kwa wasanii kama wawili au watatu. Tofaut na muziki wa South Africa, Nigeria au Congo.
 
Nimeskiza nyingi tu za nje ya east africa siskii nyimbo zetu. Zinasikika chache mno kwa wasanii kama wawili au watatu. Tofaut na muziki wa South Africa, Nigeria au Congo.
Na ndio hao wachache unaowasikia ndio wanapata tuzo! Angepata ambaye hasikiki nafikiri ndio ingekuwa sahihi kihoji
 
Back
Top Bottom