Mr.Wenger
JF-Expert Member
- Nov 20, 2014
- 2,569
- 6,165
Mkuu nilikuwa natania tu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]sasa mkuu hili ni dongo au nini???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nilikuwa natania tu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]sasa mkuu hili ni dongo au nini???
Eboooo mbona lawama namna hii kama mawifi.Mkuu, tatizo Kiba alijiharibia mwenyewe kwa kujifanya supastaa na mjuaji. unakumbuka wakati Diamond anazipata tuzo, yeye alikuwa anaziponda. alikuwa anajitapa kuwa yeye ni mkubwa kuliko tuzo.
hii maana yake nini, maana yake ni kwamba kiba alionyesha dharau kuwa tuzo si lolote. kwa hiyo haishangazi hata inapotokea leo anapata yeye wengine tunamshangaa, kulikoni leo na yeye naona tuzo ni tamu wakati mwenzie anazipata yeye alizipondea.
afterall, Mi linapokuja suala la tuzo, kwa Diamond ndo huwa nafuatilia na kutilia maanani zaidi, kwa sababu Diamond yeye alionyesha kuzijali tangia mwanzo.
ndo ushangae sasa, kiba pamoja na kuziponda tuzo na kujiona yeye ni mkubwa kuliko tuzo, leo anadiriki kwenda kujaza fomu ili apate tuzo. sasa hayo majigambo yake leo kiko wapi.?
binafsi nikisikia kiba kapata tuzo hata huwa sifuatilii kwa sababu ya jeuri yake, ila akipata Diamond hata kama ni uchochoroni lazima niishadadie.
Yaani we demu una kiherehere kama malaya kaona PESA.Team kariakoo shimoni 24/7 simu mikononi cjui wanakula saa ngapi kipya kinyemi
Sijamzungumzia Kiba nimezunguamzia tuzo na wasanii wetu wote.Pole sana naona ile ya sound city aliyoshinda kiba imekuuma sana?? Mbona mondi kashinda sana na hamkutoa tathmini hzo??
Watanzania tu wanafiki sana,miaka miwili ilopita tulikua tukiomba tuwe na wasanii wengi wa kutuwakilisha kimataifa baada ya diamond kuwa peke yake,amekuja kiba anajitahidi anashinda tunzo mbalimbali lakini cha kushangaza kuanzia media,blogs na watanzania tumemsusa utadhania Ali kiba ni mkenya ndo kwanza tunaendesha kampeni za kumvunja moyo
Swali langu,Mlitaka diamond pekee ndiye ashinde hizo tunzo??
Na ndio hao wachache unaowasikia ndio wanapata tuzo! Angepata ambaye hasikiki nafikiri ndio ingekuwa sahihi kihojiNimeskiza nyingi tu za nje ya east africa siskii nyimbo zetu. Zinasikika chache mno kwa wasanii kama wawili au watatu. Tofaut na muziki wa South Africa, Nigeria au Congo.