Wasanii wetu na mtihani wa Imani!

Wasanii wetu na mtihani wa Imani!

Truth Matters

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2013
Posts
2,302
Reaction score
4,603
Nilifuatilia mjadala wa Harmonize kuombewa na Pastor Tony, na kabla ya hapo kwenda kanisani na Kajala.

Pia huyu anayeitwa Niffer naona na yeye yupo kwenye dini mseto! Kote kote yupo!

Nashawishika kuamini hii inatoka na kazi yao kutaka kuwaridhisha mashabiki wao ambao wapo pande zote za Imani!

Sasa sijui wataendelea hivi mpaka mwisho au uzeeni watarudi kwenye Imani za mioyo yao!!?
 
watafuta umaarufu, na kuongelew, KIHEREHERE ni tabia ya mpenda sifa na umaarufu, na hzo ndio gharama zake.
ndo maana wanaitwa "wasanii"
kwahyo wasikuumize kichwa, wanachokitaka ni hyi mijadala kuhusu wao, wanaamini kuna milango itafunguka huko mbele
 
Kwani shida iko wapi mkuu?
Kwani wewe uliyesimama kwenye Imani moja umewasaidia vipi marehemu 20 wa kariakoo wafufuke?
Kuna muda u need to mind your own business
 
Nilifuatilia mjadala wa Harmonize kuombewa na Pastor Tony, na kabla ya hapo kwenda kanisani na Kajala.

Pia huyu anayeitwa Niffer naona na yeye yupo kwenye dini mseto! Kote kote yupo!

Nashawishika kuamini hii inatoka na kazi yao kutaka kuwaridhisha mashabiki wao ambao wapo pande zote za Imani!

Sasa sijui wataendelea hivi mpaka mwisho au uzeeni watarudi kwenye Imani za mioyo yao!!?

View: https://www.facebook.com/reel/561430256362180
 
Back
Top Bottom