Squidward
JF-Expert Member
- Jul 21, 2014
- 7,828
- 9,546
hawa maboya hawajielewi mtoto ni muhimu sana,Nafkiri baadhi yao watakua wagumba wengine tasa kama "M.wema"
LIKE Niku ADD
LIKE Niku ADD
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngwair ameacha mtoto mbona....Diamond nae yuko njiani....😛eep:
Ni mifano mingi tumeona pindi msanii au mtu yoyote yule ambaye amefikia umri wa kuanzisha familia inapotokea amefariki bila hata ya kuacha angalau mtoto mmoja ambaye atakua faraja kwa familia au jamii kwa ujumla.
Nimeamua kusema hivi kwa sababu nimetoka kusikiliza historia ya marehemu MEZ B, R.I.P ikisomwa leo wakati amezikwa sikusikia kuwa marehemu alianzisha familia yake achilia mbali hata mtoto tu. Kweli inaumiza ukizingatia marehemu alivuka miaka 30 na zaidi.
Sio tu Mez-b pia na Ngwear pia R.I.P bila kusahau Kanumba R.I.P pamoja na wengine wengi. Tujifunze jaman inaleta faraja kwa familia pindi wakimwona mtoto alieachwa na marehemu.
Nawaonea huruma watoto wa ALLI KIBA.
Ni mifano mingi tumeona pindi msanii au mtu yeyote yule ambaye amefikia umri wa kuanzisha familia inapotokea amefariki bila hata ya kuacha angalau mtoto mmoja ambaye atakuwa faraja kwa familia au jamii kwa ujumla.
Nimeamua kusema hivi kwa sababu nimetoka kusikiliza historia ya marehemu MEZ B, R.I.P ikisomwa leo wakati amezikwa sikusikia kuwa marehemu alianzisha familia yake achilia mbali hata mtoto tu. Kweli inaumiza ukizingatia marehemu alivuka miaka 30 na zaidi.
Sio tu Mez-b pia na Ngwear pia R.I.P bila kusahau Kanumba R.I.P pamoja na wengine wengi. Tujifunze jamani inaleta faraja kwa familia pindi wakimwona mtoto alieachwa na marehemu.
wazae wazeeke?? according to wema sepetu
Wakiwaacha watt nani atawalea? Jamii imebadilika asee.. haikotayari kulea mtt wa mtu.. au unataka idadi ya wtt wa mtaani iongezeke?
Ni mifano mingi tumeona pindi msanii au mtu yeyote yule ambaye amefikia umri wa kuanzisha familia inapotokea amefariki bila hata ya kuacha angalau mtoto mmoja ambaye atakuwa faraja kwa familia au jamii kwa ujumla.
Nimeamua kusema hivi kwa sababu nimetoka kusikiliza historia ya marehemu MEZ B, R.I.P ikisomwa leo wakati amezikwa sikusikia kuwa marehemu alianzisha familia yake achilia mbali hata mtoto tu. Kweli inaumiza ukizingatia marehemu alivuka miaka 30 na zaidi.
Sio tu Mez-b pia na Ngwear pia R.I.P bila kusahau Kanumba R.I.P pamoja na wengine wengi. Tujifunze jamani inaleta faraja kwa familia pindi wakimwona mtoto alieachwa na marehemu.