Wasemaji Simba, Yanga na Azam punguzeni comed, mnaboa watu wazima

Wasemaji Simba, Yanga na Azam punguzeni comed, mnaboa watu wazima

Uzi unajieleza wenyewe

Comed zimekuwa too much kiasi cha kukinaisha. Hatukatai hili soka ni mchezo wa furaha na hamasa, hatukatai moja kati ya jukumu lenu ni kutia hamasa. Lakini kinachoendelea sasa kwa wasemaji hawa ni utoto. Hizo club zinafuatiliwa na watu wengi duniani kote, sasa kuleta masihara hata mnapokuwa kwenye media kuzisemea clubs, sio sawa!

Hakuna tofauti ya kumsikiliza comedian Tx Dula au Leonardo na Ahmed Ally na Ally Kamwe. Unajiuliza hawa ni wasemaji wa timu au comedians wa timu Unamkuta Ally Kamwe anafanyia jokes wachezaji wa Simba, huu ni upuuzi wa kutia kinyaa.

Hichilema tufikishie hizi taarifa kwa wahusika wote.
Hapo Comedian ni msemaji wa timu yako ya Simba!! Yaani Ahmed Ally! Hao wengine naona unawasingizia.

Ungeongelea kuhusu tabia kupigana vijembe, ningekubali wote wanahusika.
 
Makeke, tambo, ushereheshaji, comedy na kelele za wasemaji wa timu za Yanga na Simba katika kutoa taarifa na kuhamasisha mashabiki wa timu zao huwa vinasaidiaje timu hizo kiuhalisia?
 
Uzi unajieleza wenyewe

Comed zimekuwa too much kiasi cha kukinaisha. Hatukatai hili soka ni mchezo wa furaha na hamasa, hatukatai moja kati ya jukumu lenu ni kutia hamasa. Lakini kinachoendelea sasa kwa wasemaji hawa ni utoto. Hizo club zinafuatiliwa na watu wengi duniani kote, sasa kuleta masihara hata mnapokuwa kwenye media kuzisemea clubs, sio sawa!

Hakuna tofauti ya kumsikiliza comedian Tx Dula au Leonardo na Ahmed Ally na Ally Kamwe. Unajiuliza hawa ni wasemaji wa timu au comedians wa timu Unamkuta Ally Kamwe anafanyia jokes wachezaji wa Simba, huu ni upuuzi wa kutia kinyaa.

Hichilema tufikishie hizi taarifa kwa wahusika wote.
Naunga mkono hoja. Kuna Mambo wanasema au kuandika kwenye akaunti zào unasoma humalizi unaona utoto mwingiii!
 
Back
Top Bottom