Wasemaji wetu wa Ikulu wana la kujifunza kwa Mwanadada mdogo Karoline Leviatte, msemaji wa White House

Wasemaji wetu wa Ikulu wana la kujifunza kwa Mwanadada mdogo Karoline Leviatte, msemaji wa White House

def_xcode

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2023
Posts
1,896
Reaction score
5,181
Huyu binti mrembo, mdogo mwenye umri wa miaka 27 msemaji wa Ikulu ya Marekani amekuwa gumzo mtandaoni kwa uwezo wake wa kujibu maswali na kujiamini.

Binti anapigwa maswali ya papo hapo na kuyajibu kwa ufasaha na kujiamini huku waandishi wa habari wasiompenda Trump wakiwa wanajaribu wakati mwingine kubadilisha mambo na kumlisha maneno Trump na binti anawaumbua kwa kuwapa facts na evidences.

Binti yuko informed kila swali analouliza ana jibu lake na kwa kujiamini. Kama kuna uchaguzi Trump kapatia sana ni kwa haka kabinti aisee.

1738988766257.png
 
Wewe unampenda Trump si eti eeeenh?
Kuna shida mkuu?Umpende,umchukie ndiye yeye.Hata mtawala wa Israeli aliamuru watoto kuanzia miaka miwili kushuka chini wauawe kwa hofu ya kuporwa utawala wake lakini ikawa hola.
 
Mbn sura yake nikama wanashare umri na mama yangu au wewe nimzee sana kiasi chakumuita binti?
 
Huyu binti mrembo, mdogo mwenye umri wa miaka 27 msemaji wa Ikulu ya Marekani amekuwa gumzo mtandaoni kwa uwezo wake wa kujibu maswali na kujiamini.
Binti anapigwa maswali ya papo hapo na kuyajibu kwa ufasaha na kujiamini huku waandishi wa habari wasiompenda Trump wakiwa wanajaribu wakati mwingine kubadilisha mambo na kumlisha maneno Trump na binti anawaumbua kwa kuwapa facts na evidences.
Binti yuko informed kila swali analouliza ana jibu lake na kwa kujiamini. Kama kuna uchaguzi Trump kapatia sana ni kwa haka kabinti aisee.
View attachment 3228705
Trump AKAOE HAKA KAREMBO ILI KAWE KARIBU KABISA.
 
Simpendi wala kumchukia ila huyu mwanadada anajua kujibu maswali na anajiamini sio kama kilaza Kamala Harris
Hapo Madam Kamala Harris ameingiaje, kwani yeye alikuwa msemaji wa Ikulu au taasisi yoyote huko US?
 
Hivi huko marekani nako huwa viongozi wanatumia muda mrefu kwenye mikutano ya kumsifia Trump kama huku kwetu?
 
Hapo Madam Kamala Harris ameingiaje, kwani yeye alikuwa msemaji wa Ikulu au taasisi yoyote huko US?
Alikuwa hajibu maswali wakati wa kampeni anazunguka zunguka tu na interview zake ziko edited sana. Jana wameachia unedited interview yake aliyofanya na MSNBC
 
Back
Top Bottom