Wasemaji wetu wa Ikulu wana la kujifunza kwa Mwanadada mdogo Karoline Leviatte, msemaji wa White House

Wasemaji wetu wa Ikulu wana la kujifunza kwa Mwanadada mdogo Karoline Leviatte, msemaji wa White House

Kwa siasa za Trump, nyuma ya pazia civil servants hasa diplomats kwa sasa wana kazi kubwa sana ya kutoa maelezo ya uropokaji wake kwenye international relations.

Hawa viongozi wao wa ulinzi uwa wanakutana kwenye joint strategic security meetings. Huko watakuwa wanauliza wenzao wa US how could you let this happen again Trump kuwa raisi (knowing in advance Biden was mentally incapable and Harris wasn’t going to win).

Binafsi nimeudharau usalama wa US, kwa Europę Trump kushinda isingewezekana.
 
Huyo binti hana weledi wowote ni muongo muongo na mtu wa propaganda tu.
Exactly! Na huwa anachambwa sana kwenye mitandao kwa majibu yake ya uwongo uongo, nashangaa huyu anakuja kumsifu huku kwetu kama vile hatufuatilii yanayoendelea.

Hata experience juu ya issues nyingi hana yeye anajibia tu.
 
Huyu binti mrembo, mdogo mwenye umri wa miaka 27 msemaji wa Ikulu ya Marekani amekuwa gumzo mtandaoni kwa uwezo wake wa kujibu maswali na kujiamini.
Binti anapigwa maswali ya papo hapo na kuyajibu kwa ufasaha na kujiamini huku waandishi wa habari wasiompenda Trump wakiwa wanajaribu wakati mwingine kubadilisha mambo na kumlisha maneno Trump na binti anawaumbua kwa kuwapa facts na evidences.
Binti yuko informed kila swali analouliza ana jibu lake na kwa kujiamini. Kama kuna uchaguzi Trump kapatia sana ni kwa haka kabinti aisee.
View attachment 3228705
UWT na UVCCM hawana cha kujifunza hapa?
 
Nae anasema serikali ya chama imefanya hiki na Trump atafanya hili.?
 
Huyu binti mrembo, mdogo mwenye umri wa miaka 27 msemaji wa Ikulu ya Marekani amekuwa gumzo mtandaoni kwa uwezo wake wa kujibu maswali na kujiamini.
Binti anapigwa maswali ya papo hapo na kuyajibu kwa ufasaha na kujiamini huku waandishi wa habari wasiompenda Trump wakiwa wanajaribu wakati mwingine kubadilisha mambo na kumlisha maneno Trump na binti anawaumbua kwa kuwapa facts na evidences.
Binti yuko informed kila swali analouliza ana jibu lake na kwa kujiamini. Kama kuna uchaguzi Trump kapatia sana ni kwa haka kabinti aisee.
View attachment 3228705
Kameolewa?
 
Exactly! Na huwa anachambwa sana kwenye mitandao kwa majibu yake ya uwongo uongo, nashangaa huyu anakuja kumsifu huku kwetu kama vile hatufuatilii yanayoendelea.

Hata experience juu ya issues nyingi hana yeye anajibia tu.
Wanaomchamba si Democrats ambao usipokubaliana nao basi wewe unakuwa racist, masogynist, na mambo kibao. Binti yuko vizuri wewe Tazama press zake anavyopiga nyundo waandishi wa habari wanaokuja na kujaribu kubadili mambo anavyowarudisha kwenye mstari.
 
Huyu binti mrembo, mdogo mwenye umri wa miaka 27 msemaji wa Ikulu ya Marekani amekuwa gumzo mtandaoni kwa uwezo wake wa kujibu maswali na kujiamini.
Binti anapigwa maswali ya papo hapo na kuyajibu kwa ufasaha na kujiamini huku waandishi wa habari wasiompenda Trump wakiwa wanajaribu wakati mwingine kubadilisha mambo na kumlisha maneno Trump na binti anawaumbua kwa kuwapa facts na evidences.
Binti yuko informed kila swali analouliza ana jibu lake na kwa kujiamini. Kama kuna uchaguzi Trump kapatia sana ni kwa haka kabinti aisee.
View attachment 3228705
Hata uwe na akili vipi huwezi kumtetea chura kiziwi wa mchambawima yeye akiamka anawaza nini cha kupiga mnada na kusema watanganyika mnajiteka
 
Ameolewa?, naona amenona na kuiva kweli kweli!, shavu kama analamba asali mbichi.
Kulamba asali ni Kula rushwa Mkuu. Sidhani kama kanalamba asali ikulu kangekuwa kameshafurushwa,🤣🤣🤣🤣
 
  • Kicheko
Reactions: K11
Hata uwe na akili vipi huwezi kumtetea chura kiziwi wa mchambawima yeye akiamka anawaza nini cha kupiga mnada na kusema watanganyika mnajiteka
Kwa hiyo solution hapo ni kujiuzulu kuwa msemaji wake ili ajisemee mwenyewe au siyo?🤣🤣🤣🤣
 
Wanaomchamba si Democrats ambao usipokubaliana nao basi wewe unakuwa racist, masogynist, na mambo kibao. Binti yuko vizuri wewe Tazama press zake anavyopiga nyundo waandishi wa habari wanaokuja na kujaribu kubadili mambo anavyowarudisha kwenye mstari.
Mkuu unaelewa Kingereza??
 
Hapo labda msukule kama lucas mwashamba unabubujikwa na machozi ndio unaweza hiyo kazi
Najaribu kuimagine ndiyo umeteuliwa wewe kuwa msemaji, kwa hiyo utakuwa kama job unajisemea ya MOYONI mwako badala ya kuyasema ya kwenye script kwamba nchi inapigwa Mnada hii🤣🤣🤣🤣
 
Watajifunza vipi, kwani huyo mwanadada anatumia kiswahili kwenye kazi zake?
 
Back
Top Bottom