tatanyengo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 1,133
- 280
... msaada wangu utanijia kutoka wapi... Makoko (1981-84). Those 'old good' days... Jesus Christ!
Nipo mwana likonde seminary, enzi za Rector John Ndimbo, Kwasasa Ni Askofu Wa Jimbo La Mbinga.
Quid Faciendo, Serva Mandatum.
Nakumbika enzi zetu pale st Joseph Kilocha Seminary tulikuwa tunaogopwa academically nyanda za juu kusini kama ukoma...I like Seminary
Uzinzi ni kutenda/kungonoka na ndugu wako wa damu. Same bloodline.IFRS
Huo ni uasherati ila kulala na mke wa mtu ndio uzinzi
waseminari wengi ni wazinzi sijui kwa nini?
1989 fr.ntamaboko,fr .yaga gombera dinho
Sakramenti Kubwa Hiyo Lyrics
Sakramenti kubwa hiyo, twaheshimu kifudi-
Na sheria ya zamani, ikomeshwe na hiyo-
Yafichikayo machoni, imani huyaona * 2-
Mungu Baba Mungu mwana asifiwe kwa shangwe-
Kwa heshima atukuzwe, pia aabudiwe-
Mungu Roho Mtakatifu vile sifa apate * 2-
Dragoon, Fr. Ladislaus amefariki lini?
Jamani Ni muda wa masifu saaa
" Msaada wetu kwa jina la bwana.......
mbalila1989 fr.ntamaboko,fr .yaga gombera dinho
Tuliopita lutherani juniir seminary je?
Sisi wengine hTUHabari zenu ndugu zangu wanajukwaa.
Nikifahamu kwamba humu ndani ya jukwaa wapo watu wa namna mbalmbalii na experience mbalimbali, leo nawaomba wale waliopitia seminary tukutane hapa tujikumbushe masifu, sijui nani anajua ni juma la ngapi hata hivyo.
Tafadhali wale mliopita pale Uru seminary, Nyegezi seminary, Itaga seminary, Consolata sem, St. James seminary, Visiga sem, Makoko sem n.k njooni hapa.. Hata kama ulipata wito tofauti na lengo la seminary njoo tupeane uzoefu wa huko ulipo.
Ee bwana uifungue midomo yetu.
Sema ktk elimu seminary zipo vizuri sana wakuu...Kanda ya kusini ktk mitihani seminaries were topping the list...Habari zenu ndugu zangu wanajukwaa.
Nikifahamu kwamba humu ndani ya jukwaa wapo watu wa namna mbalmbalii na experience mbalimbali, leo nawaomba wale waliopitia seminary tukutane hapa tujikumbushe masifu, sijui nani anajua ni juma la ngapi hata hivyo.
Tafadhali wale mliopita pale Uru seminary, Nyegezi seminary, Itaga seminary, Consolata sem, St. James seminary, Visiga sem, Makoko sem n.k njooni hapa.. Hata kama ulipata wito tofauti na lengo la seminary njoo tupeane uzoefu wa huko ulipo.
Ee bwana uifungue midomo yetu.