tatanyengo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 1,133
- 280
... msaada wangu utanijia kutoka wapi... Makoko (1981-84). Those 'old good' days... Jesus Christ!
1987 - 1990 Br Brendan akafuatia Fr Msilanga, Fr Chiza na baadae Fr Mzungu (jina limenitoka). Dr Chiza alizingua hadi akatimuliwa na maaskofu. Tamu na chungu ndo maisha ya seminarini. Sala, kazi, michezo na masomo at their best.