Waseminari wote tukutane hapa

Waseminari wote tukutane hapa

... msaada wangu utanijia kutoka wapi... Makoko (1981-84). Those 'old good' days... Jesus Christ!

1987 - 1990 Br Brendan akafuatia Fr Msilanga, Fr Chiza na baadae Fr Mzungu (jina limenitoka). Dr Chiza alizingua hadi akatimuliwa na maaskofu. Tamu na chungu ndo maisha ya seminarini. Sala, kazi, michezo na masomo at their best.
 
Nipo mwana likonde seminary, enzi za Rector John Ndimbo, Kwasasa Ni Askofu Wa Jimbo La Mbinga.
Quid Faciendo, Serva Mandatum.

Sawa sawa nawakumbuka sana wazee wetu akina magavila wa mahanjumati na mechi za mpira na Caigo!
 
Nakumbika enzi zetu pale st Joseph Kilocha Seminary tulikuwa tunaogopwa academically nyanda za juu kusini kama ukoma...I like Seminary

Aaaaa wacha mbwembwe....Ina maana hata Don Bosco na Mafinga Seminary wawaogope nyie??after all wapi Fr Einhard Mgaya??wapi Fr Mlowe??
 
Nlikuwa nawaona wa pale Donboscow Mafinga,haisee hauendi likizo mpaka umalize kupasua Magogo yako 15 ya kuni,seminary au mateso😂😂😂😂
 
waseminari wengi ni wazinzi sijui kwa nini?

Kwa sababu wengi wao waliambiwa tendo la mwanamke kuwa na mwanamme ni OVU na halifai.
Sasa mtu hata km alitaka kuoa alikuwa anakatazwa na Kanisa.
Matokeo yake mtu amejaa Ashk miaka 10. Akitoka hapo ni kutafuna au kutafunwa tu.
 
Sakramenti Kubwa Hiyo Lyrics

Sakramenti kubwa hiyo, twaheshimu kifudi-
Na sheria ya zamani, ikomeshwe na hiyo-
Yafichikayo machoni, imani huyaona * 2-

Mungu Baba Mungu mwana asifiwe kwa shangwe-
Kwa heshima atukuzwe, pia aabudiwe-
Mungu Roho Mtakatifu vile sifa apate * 2-

Inanikumbusha mbali sana du
 
Habari zenu ndugu zangu wanajukwaa.

Nikifahamu kwamba humu ndani ya jukwaa wapo watu wa namna mbalmbalii na experience mbalimbali, leo nawaomba wale waliopitia seminary tukutane hapa tujikumbushe masifu, sijui nani anajua ni juma la ngapi hata hivyo.

Tafadhali wale mliopita pale Uru seminary, Nyegezi seminary, Itaga seminary, Consolata sem, St. James seminary, Visiga sem, Makoko sem n.k njooni hapa.. Hata kama ulipata wito tofauti na lengo la seminary njoo tupeane uzoefu wa huko ulipo.

Ee bwana uifungue midomo yetu.
Sisi wengine hTU
 
Habari zenu ndugu zangu wanajukwaa.

Nikifahamu kwamba humu ndani ya jukwaa wapo watu wa namna mbalmbalii na experience mbalimbali, leo nawaomba wale waliopitia seminary tukutane hapa tujikumbushe masifu, sijui nani anajua ni juma la ngapi hata hivyo.

Tafadhali wale mliopita pale Uru seminary, Nyegezi seminary, Itaga seminary, Consolata sem, St. James seminary, Visiga sem, Makoko sem n.k njooni hapa.. Hata kama ulipata wito tofauti na lengo la seminary njoo tupeane uzoefu wa huko ulipo.

Ee bwana uifungue midomo yetu.
Sema ktk elimu seminary zipo vizuri sana wakuu...Kanda ya kusini ktk mitihani seminaries were topping the list...
Consolata Seminary,Don Bosco ,Mafinga Seminary ,Kilocha and others
 
Back
Top Bottom