Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Arajiga ana makosa,ila ni ya kawaida tu kama binadamu.Kwani kuna nini?
Utopolo ndo wanamuona yuko vzr
Je ukifungiwa hutakiwi kujifunza nilidhani binadamu anajifunza kutokana na makosaSijui ni ukilaza ujinga au??
2022 alifungiwa
2020 alifungiwa
2019 alifungiwa
Tena kuna mechi kati ya Yanga na Azam aliwabeba Yanga akafungiwa
Acheni ujinga
Sure..Arajiga ana makosa,ila ni ya kawaida tu kama binadamu.
Anajitahidi mno kulinganisha na marefa wengine wa hapa.
Tukumbushane kwamba urefarii ni pasua kichwa hata kwa wenzetu duniani huko pamoja na kua na msaada wa VAR bado wanavurunda.
Hiyo haibadili sare kuwa ushindiSijui ni ukilaza ujinga au??
2022 alifungiwa
2020 alifungiwa
2019 alifungiwa
Tena kuna mechi kati ya Yanga na Azam aliwabeba Yanga akafungiwa
Acheni ujinga
Well saidLakini mnyonge tumnyonge lakini haki yake tumpe,wanasema "makosa ni sehemu ya kujifunza".
Kwa Arajiga ametumia makosa yake kujijenga kua wa tofauti kabisa .
Amejifunza na ni ukweli usiopingika kwamba ndiye mwamuzi bora kabisa Tanzania.
Well saidArajiga ana makosa,ila ni ya kawaida tu kama binadamu.
Anajitahidi mno kulinganisha na marefa wengine wa hapa.
Tukumbushane kwamba urefarii ni pasua kichwa hata kwa wenzetu duniani huko pamoja na kua na msaada wa VAR bado wanavurunda.
HeheheJe ukifungiwa hutakiwi kujifunza nilidhani binadamu anajifunza kutokana na makosa
Bado hamponi tuSijui ni ukilaza ujinga au??
2022 alifungiwa
2020 alifungiwa
2019 alifungiwa
Tena kuna mechi kati ya Yanga na Azam aliwabeba Yanga akafungiwa
Acheni ujinga
Hatutaki achezeshe mechi zetu, kwanini hatupi penalty? alf kila akichezesha tunafungwaAmejifunza sasa yuko njema, tareh 8 march awe mwamuzi.