Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sheria mnatunga nyie wenyewe kulalamika mna lalamika wenyewe hizo hizo mbovu mnashindwa kizisimamia. Mna akili za kusamehe kadi nyekundu lakini akili za kubadilisha matokeo mnakuwa hamnazoLeo hii ukifungwa jela kwa wizi hautaaminika tena na wananzego kuwa umeacha wizi
Basi mechi zenu zote wachezeshe Tatu Malogo na Smart ili kupunguza hivi vilio. Maana penati na kadi nyekundu hapo ni uhakika kwa 💯%Sijui ni ukilaza ujinga au??
2022 alifungiwa
2020 alifungiwa
2019 alifungiwa
Tena kuna mechi kati ya Yanga na Azam aliwabeba Yanga akafungiwa
Acheni ujinga
Kama vipi tuungane kupiga kelele ili Tatu Malogo na Smart ndiyo wawe waamuzi pekee wa kuchezeshe hizo mechi zenu.Hatutaki achezeshe mechi zetu, kwanini hatupi penalty? alf kila akichezesha tunafungwa
Wewe ulitakiwa kuwa Mwananchi! Sasa sijui ilikuwaje ukachangamana na hao ndugu zako walalamishi wa kila kitu. Yaani isitokee tu timu imefungwa au kutoa sare! Ni malalamiko tu.Arajiga huwezi kumfananisha na refa yeyote kwenye ligi kwa sasa, kwanza akichezesha unaona hata kwenye fouls wachezaji hawalalamiki maamuzi hake kama wanavyochezesha marefa wengine, kwa sasa anachezesha vizuri labda kama ataharibiwa na marefa wa pembeni.
Mkuu maamuzi ya marefa wengi tunayaona kwenye hii ligi,mpira ni wa wazi kuna wakati unaona hapa refa amekosea na hapa yuko sahihi,unadhani kwa msimamo wa haki kama wa Arajiga wachezaji watafanya rafu za kijinga?maana hapindishi,sehemu inayostahili anakupa njano au nyekundu wachezaji wanaji-tune kisaikolojia kwamba akifanya kosa anaadhibiwa ipasavyo.Wewe ulitakiwa kuwa Mwananchi! Sasa sijui ilikuwaje ukachangamana na hao ndugu zako walalamishi wa kila kitu. Yaani isitokee tu timu imefungwa au kutoa sare! Ni malalamiko tu.
TATU MALOGO nae ni Refa🤣🤣Kama tatu malogo ni refa ijekuwa Arajiga wajameni??. Kwahiyo CAF nao ni wapumbavu kumpa mechi?.
Huyu atakuwa Kayoko tu. Au ana ubia na Tatu Malogo au Jonesia.Kwani kuna nini?
Utopolo ndo wanamuona yuko vzr hata mimi sina shaka nae...