denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Bocco goli 13.
Kagere goli 11.
Mugalu goli 10.
Bado ligi haijaisha, tarehe 3 July utopolo msilete timu uwanjani singizieni mmewapima wachezaji wenu wote wamekutwa na Corona.
Mkisingizia pesa mlizopoteza kwa maandalizi ya ile mechi ambayo haikuchezwa mtupe hesabu, tutawachangia yote na chenchi mtabaki nayo mkabadilishe "diet" kidogo kambini, sio mihogo msimu mzima hadi Kalinyo kawakimbia.
Kagere goli 11.
Mugalu goli 10.
Bado ligi haijaisha, tarehe 3 July utopolo msilete timu uwanjani singizieni mmewapima wachezaji wenu wote wamekutwa na Corona.
Mkisingizia pesa mlizopoteza kwa maandalizi ya ile mechi ambayo haikuchezwa mtupe hesabu, tutawachangia yote na chenchi mtabaki nayo mkabadilishe "diet" kidogo kambini, sio mihogo msimu mzima hadi Kalinyo kawakimbia.