Washauri wa Rais Magufuli, mshaurini aache kutumia Kiingereza kwenye hadhara

Washauri wa Rais Magufuli, mshaurini aache kutumia Kiingereza kwenye hadhara

Hata hivyo kajitahidi sana waliomsikiliza wameelewa 'it is a very constructive idea' though our leaders are not in favour of collective leadership
 
Wewe kwa upeo wako mdogo ndiyo unaona ni hoja ya kijinga. Hapa tunazungumzia mtu aliyeandika thesis ya kitaalam ya kuhitimu Phd baada ya kufanya utafiti na baadae akawa mwalimu akifundisha kwa kutumia lugha ya kiingereza. Aliwezaje kumudu yote hayo wakati hawezi kuongea kiingereza ''cha kuridhisha''? Na wala siongei kile kizuri.

Nimekutana na wasomi wengi ambao english inawapiga chenga lakini wakizungumza unaona kabisa wana mwelekeo wa usomi na unaridhika. Hata maswali rahisi anashindwa kuelewa sembuse kujibu! Something very very wrong with his education!

What are you talking or rather writing about? After all he is better than you! Your last sentence written in English is grammatically wrong and I hereby append it “Something very very wrong with his education”[emoji38]
 
Lakini hao wazungu kama wana Phd unakuta wametumia lugha yao ya kiingereza kuzisoma lakini cha kushangaza huyu wa kwetu ana Phd aliyosomea kwa kiingereza lakini hajui kuandika sentesi moja ya kiingereza kilichonyooka sasa hapo ndio ufeki wa Phd yake unapojitokeza

Msicho kujuwa ni kwamba wanasayansi/engineers ambao kingereza sio native language yao mara nyingi wana mangle baadhi ya maneno/sentensi za kiingereza wala hiyo si issue ya kuivalia njuga, mbona alicho maanisha kinaeleka vizuri tu - kwani tatizo liko wapi?

Nani kasema ukizungumza a very refined English ndio utaonekana ni MTU msomi sana na mbunifu? Taifa letu don't need neo-Shakespeare ,Chinua Achebe or Ngugi WaThiongo.
 
Msicho kujuwa ni kwamba wanasayansi/engineers ambao kingereza sio native language yao mara nyingi wana mangle baadhi ya maneno/sentensi za kiingereza wala hiyo si issue ya kuivalia njuga, mbona alicho maanisha kinaeleka vizuri tu - kwani tatizo liko wapi?

Nani kasema ukizungumza a very refined English ndio utaonekana ni MTU msomi sana na mbunifu? Taifa letu don't need neo-Shakespeare ,Chinua Achebe or Ngugi WaThiongo.
Ndio maana anashauriwa atumie kiswahili ili aepuke kuliaibisha Taifa kama jana mkuu
 
What are you talking or rather writing about? After he is better than you! Your last sentence written in English is grammatically wrong and I hereby append it “Something very very wrong with his education”[emoji38]

There you are-well said, actually it reminds me the pot calling the kettle black!!

Sijui watu wengine wakoje always wana pick pick vitu vidogo vidogo na kuvikuza beyond proportion.
 
Mnaojifanya kukijua kiingereza huwa MNA maisha magumu sana. Mpo mpo tu mlishawaza Ulaya mpaka sasa mnauza juice za miwa mpo tu. Much know harafu hamna kitu. Raisi wa China hata kuhesabu kiingereza tu hajui yaani ile moja mpaka kumi, sasa mnachomshangaa mzee baba ni nini?

Ye anajua cha chato ndicho alicho zaliwa nacho mpeni pozi kidogo. Wewe unayekosoa baba ako mwenyewe ajasoma kabisa, mama ndio kabisa.
 
Mimi huwa natamani aongee angalao hicho kiswahili chake ingawa nacho sio rasmi kabisa huwa anabofya huko katikati. Bado namkumbuka Bwn Saa8.
 
Ni mafundi wa kukosoa wakati wao ndio wa kukosolewa.

Ni vijana wa mijini haswa Dar ndio wenye kudhani wana haki miliki ya Tanzania.

Wanamchukia Magufuli kwa sababu utajiri wa nchi anausambaza kote, miundo mbinu iliyomponya Zitto Kabwe imesambazwa kote.

Pesa iliyokuwa ikiliwa hovyo miaka ya nyuma kwa sasa inajenga nchi nzima hivyo hawa wanaoumia mioyo yao lazima watafute namna za kujifariji.
Sio kweli kwamba utajiri wa nchi au pesa za nchi zinasambazwa kila mahali. Zimetumika kujenga int. airport ya chàto, kununua ndege etc. Vilvile nadhan umeshasikia mh. rais akisema hapeleki maendeleo mahali ambapo muwakilishi wa wananchi ni wa chama tofauti na ccm. Na sio rais tu hata viongozi wengine wa ccm na serikali nao wanasems hivo.

Ofisi ya CAG nayo imezuiws kukagua baadhi ya miradi. Ktk mawasiliano (lugha) dunia imegawanyika ktk maeneo au kanda zenye kutumia lugha tofauti za mawasiliano kimataifa. kiingereza, kifaransa, kichina, kiarabu, kiurusi na labda kihispania. Sisi we fall under kiingereza (anglophone).

Kiswahili haitambuliki kama lugha ya kimataifa. Tukitaka kukuza kiswahili iwe lugha ya kimataifa nadhani kuna njia za kitaalam za kutumia, na sio kumtumia rais. Anayo majukumu yake mengine mengi ya kutekeleza. Sasa rais kukosa strong command ya kiingereza (kama ni kweli), kwa nchi iliyo ukanda wa anglophone ni shida. Ni aibu. Hatuwezi kujitetea oh mbona kina Putin, Merkel, Japanese pm etc hawajui english. Wao anatumia lugha nyingine zinazotamulikana kimataifa.

Huwezi kwenda UN uhutubie kwa kiswahili, hakitambuliki huko. Rais wa JMT (our top diplomat) anatakiwa awe mtu anayeweza kutiririka kiingereza. Kama kuna udhaifu tuukubali kinyenyekevu na tuushughulikie ipasavyo.
 
Fair point. Lakini mara ngapi mimi au wewe tumeongea au kuandika kiingereza ndani ya jamii forums wakati tunajua members wengi kama si wote wanajua kiswahili?

Suala ni kwamba unafanya kile ambacho utashi wako umekutuma kufanya iwe ni kwa kutaka kuwathibitishia au iwe kwa sababu zinginezo. Ndio uhuru wenyewe. Usinipangie nifanye nini, nitumie lugha gani au hata niseme nini. Iwe mimi, wewe au Rais Magufuli.
Hauko sahihi. Kwa mambo yake binafsi anao huo uhuru wa kukoroga apendavyo. Lakini anapokua kwenye shughuli ya kitaifa anategemewa awe sahihi kwa kila hali. Urais sio mali binafsi ni dhamana ambayo wananchi wamemkabidhi. Wananchi wakiona mapungufu ktk utendaji au haiba wana haki ya kuhoji kwa vile ndio waajiri waliompa kazi.
 
What are you talking or rather writing about? After all he is better than you! Your last sentence written in English is grammatically wrong and I hereby append it “Something very very wrong with his education”[emoji38]
I cannot reach you......
 
Katika nchi ya watu wazima ni aibu mtu kuleta hoja ya namna hii, baada ya yeye kuzungumza hicho mnacho shadadia hawezi je? Kuna madaraja yaliporomoka? Uchumi umeshuka?? Stop nonsense [emoji1630], Kama hajavunja sheria ya nchi si tatizo muache apige kazi wewe unayejua saana kuzungumza hicho kiingereza ungegombea Kama ndo kigezo, uwe Rais wa nchi na ulete wazungu kuwafundisha watanzania hiyo lugha.
 
Mabeberu wangapi wanapiga broken za kiswahili au lugha nyingine lakini watu wanachukulia poa tu.

Kumbuka usomi haupimwi kwa kujua lugha ya kiingereza
Sasa kama ulisoma kuanzia form one mpaka phd kwa kutumia kiingereza halafu hujui kiingereza wewe nawe ni msomi? Kiri udhaifu- kumbuka ile kauli maarufu: 'msema kweli ni mpenzi wa Mungu'
 
Katika nchi ya watu wazima ni aibu mtu kuleta hoja ya namna hii, baada ya yeye kuzungumza hicho mnacho shadadia hawezi je? Kuna madaraja yaliporomoka? Uchumi umeshuka?? Stop nonsense [emoji1630], Kama hajavunja sheria ya nchi si tatizo muache apige kazi wewe unayejua saana kuzungumza hicho kiingereza ungegombea Kama ndo kigezo, uwe Rais wa nchi na ulete wazungu kuwafundisha watanzania hiyo lugha.
Utetezi wa aina hi i ni wa ovyo kiawango cha juu sana. Address tatizo.
 
Ndugu yangu macho_mdiliko hata wewe hujaandika lugha sahihi hapo juu. Hakuna binadamu mkamilifu. Ila ujumbe umeshafika kwa walengwa na washauri wa mjomba Pombe.
Kwa kuwa wamejificha nyuma ya key board basi wanabwabwaja tu. Hivi hao wote wanaoshabikia wao wanaongea english fasaha? Hivi ikiwekwa hoja kwa kiingereza humu wanaweza kuchangia ? Basi tuanzishe mjadala humu kwa kiingereza halafu wote hao warudie kuchangia tuone hata kama hiyo written english wanaweza achilia mbali kuzungumza ambacho nona hakika ni balaa.
 
Mnaojifanya kukijua kiingereza huwa MNA maisha magumu sana. Mpo mpo tu mlishawaza Ulaya mpaka sasa mnauza juice za miwa mpo tu. Much know harafu hamna kitu. Raisi wa China hata kuhesabu kiingereza tu hajui yaani ile moja mpaka kumi, sasa mnachomshangaa mzee baba ni nini?

Ye anajua cha chato ndicho alicho zaliwa nacho mpeni pozi kidogo. Wewe unayekosoa baba ako mwenyewe ajasoma kabisa, mama ndio kabisa.
Sasa si aongee Kiswahili?

Si ajabu Kiswahili nacho hajui huyu zuzu lenu!
 
Mkuu
Rais Magufuli ni mtu huru, ni fikra huru. Na hiki ndicho kinachomfanya awe rais bora miongoni mwa marais tuliowahi kuwa nao Tanzania. Anawaza kivyake, anasema anavyotaka iwe kingreza, kiswahili au kisukuma. Akosee au asikosee.

Rais wetu si mtumwa wa mtu yeyote, akili zake hajashikiwa na mtu yeyote. Anafanya anavyoona inafaa popote pale na muda wowote ule.

Ogopa kiongozi anayesema kwa staili ya ajili kuwaridhisha watu fulani au eti aendane na fikra fulani. Political correctness. Ni wabaya maana hawana ubunifu, hawawezi fanya maamuzi magumu, yaani wapo wapo tu kama maroboti ya kikundi fulani cha watu au fikra. Tulipopata uhuru kutoka kwa mkoloni maana yake ilikuwa ni uhuru kamili -- kimwili, kifikra na kimaamuzi.
Mkuu kila lugha ina kanuni zake ambazo ukitaka kuongea lazima uzifuate.
Kwanini asitumie kiswahili ambacho angekuwa huru zaidi kukiongea?
 
Back
Top Bottom