Ss wengine wanapenda dangerous places saa itakuwaje 🤣🤣Tunawashauri wenza wanaopanda mlima Kilimanjaro wasifanye tendo la ndoa /ngono Mlimani. Kwa sababu ukifika kule utaelewa, supply ya oxygen ni ndogo ndani ya mwili na demand tayari ni kubwa. Ile demand ya kawaida ya mwili tu hujaifikia kwahiyo ukiongeza demand kwenye saizi hizo inakuwa ni shida balaa kubwa linaweza likaja kwako kwako mwanaume kuliko mwanamke. Wagonjwa wengi tunaowapata wengi ni wanaume kuliko wanawake" Hussein Abradha - Mkurugenzi Kili med air
Itabidi Wanaume tukatae huu mtegoLabda wanajipongeza
Umesema sahihi Mkuu, I once had it in my car Mwaka 47 🤗Babu ngono tamu huwa inafanywa mahali hatarishi , hata ukiiba mke wa mtu mkajibana kichakani huwa anakua mtamu mno.
Hatari sana Mkuu 😅Akili ya binadamu ingekuwa inaonekana kama filamu,naamini tungekuwa tunacheka hadi tunazimia barabarani kwa kuona anayowaza mtu.
Ndio hivyo umeshatahadharishwa mkuu, kazi kwako😄Sasa itakuaje na nilikuwa na fantasy hiyo 🤒😎
Mpaka sasa hiyo ndoto imeshazima ghafla kama mshumaa 🤒😎🤠Ndio hivyo umeshatahadharishwa mkuu, kazi kwako😄
Sio juu ya mlima ni ndani ya hifadhiKumbe Kuna watu wanafanya ngono juu ya mlima? Ila watu wamepinda sana
Wanatia nuksi ndo maana hatupati watalii wakutoshaSio juu ya mlima ni ndani ya hifadhi
Mwehu kabisa nawe ni mwizi wa papuchi za wenzioBabu ngono tamu huwa inafanywa mahali hatarishi , hata ukiiba mke wa mtu mkajibana kichakani huwa anakua mtamu mno.
Huyo afisa naye kaongea tu na kibaridi cha horombo halafu mmeshinda hapo kwa nini nisile kimoko hata kwa ma cleanerWanatia nuksi ndo maana hatupati watalii wakutosha
Afisa anaogopa kutobokaHuyo afisa naye kaongea tu na kibaridi cha horombo halafu mmeshinda hapo kwa nini nisile kimoko hata kwa ma cleaner
Asituwekee kauzibeAfisa anaogopa kutoboka
Sio ujinga weweAkili ya binadam huwa inapenda sana ujinga ujinga