Washauriwa wasifanye ngono Mlima Kilimanjaro

Washauriwa wasifanye ngono Mlima Kilimanjaro

Tunawashauri wenza wanaopanda mlima Kilimanjaro wasifanye tendo la ndoa /ngono Mlimani. Kwa sababu ukifika kule utaelewa, supply ya oxygen ni ndogo ndani ya mwili na demand tayari ni kubwa. Ile demand ya kawaida ya mwili tu hujaifikia kwahiyo ukiongeza demand kwenye saizi hizo inakuwa ni shida balaa kubwa linaweza likaja kwako kwako mwanaume kuliko mwanamke. Wagonjwa wengi tunaowapata wengi ni wanaume kuliko wanawake" Hussein Abradha - Mkurugenzi Kili med air
Ss wengine wanapenda dangerous places saa itakuwaje 🤣🤣
 
Babu ngono tamu huwa inafanywa mahali hatarishi , hata ukiiba mke wa mtu mkajibana kichakani huwa anakua mtamu mno.
Umesema sahihi Mkuu, I once had it in my car Mwaka 47 🤗

Ukifanya mchezo unaweza kujikuta unang'oa gia wakati gari ipo kwenye Parking 😜
 
Akili ya binadamu ingekuwa inaonekana kama filamu,naamini tungekuwa tunacheka hadi tunazimia barabarani kwa kuona anayowaza mtu.
Hatari sana Mkuu 😅

Niliwahi kusoma ule Uzi wa maeneo ya hatari mtu amewahi kushiriki ngono, yaani watu Wana balaa 🙌
 
hivi si kuna makambi ya kulala? mimi nimepanda na mke wangu kule, na kabaridi ka barafu kale, kwahiyo tulale kama kaka na dada? hivi hamna oxygen suppliment labda ya kutembea nayo kuokoa hilo manake kiukweli hata mimi ningepanda kule na mke wangu ningependa kuweka historia ya kufurahia icho kitu juu ya mlima.
 
Back
Top Bottom