joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Kweli sijakuwekea sasa siasa na MTVEMA wapi na wapi.Ndio,kwani bando umeniwekea ww?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli sijakuwekea sasa siasa na MTVEMA wapi na wapi.Ndio,kwani bando umeniwekea ww?
Tumeanza kupangiana Cha kuandika tangu lini?Kweli sijakuwekea sasa siasa na MTVEMA wapi na wapi.
Basi sawa japokuwa hawaja refer ni nywele za wapi leo ndio nime amini akili ni nywele kila mtu ana zake.Tumeanza kupangiana Cha kuandika tangu lini?
Tatizo unadhani hilo fuvu la kichwa Chako kazi yake Ni kushikilia meno.Basi sawa japokuwa hawaja refer ni nywele za wapi leo ndio nime amini akili ni nywele kila mtu ana zake.
Haya endelea.
Kweli akili ni nywele...... ndio maana si shangai.Tatizo unadhani hilo fuvu la kichwa Chako kazi yake Ni kushikilia meno.
Mzee baba usimshangae naye yupo kwenye lile kundi la watumia mihadaratiKweli sijakuwekea sasa siasa na MTVEMA wapi na wapi.
Waafrika wanadharaulika sana, zawadi hawapewi onstage.19. BEST AFRICAN ACT
Tems
Diamond Platnumz
Amaarae
Wizkid**WINNER
Focalistic
Na kazi ya kichwa chako sio kufugia nywele.Kweli akili ni nywele...... ndio maana si shangai.
Mnadanganyana na viewers wa ku cheatMadawa yameisha nguvu
Futa hii mjombaHata Domo anajua namna CCM ambavyo inavyoshindaga kwny hizo mambo za kura maana yeye Ni mpiga debe wao.Kazi iendelee.
Kweli akili ni nywele...... ndio maana si shangai.Na kazi ya kichwa chako sio kufugia nywele.
Soma Uzi wote mkuu ,umesoma nusuDiamond alikuwa katika category gani...?
Na ni nani aliyeshinda katika hiyo category..!?
Naam,kwani huna nywele katikati hapo?Au Ni barabara ya vumbi grader inapita Mara kwa Mara? 😄😄Majibu una anza kuyapata.
Nimejifanya kwenda kuangalia video zake YT aisee huyu dogo ni laana sumakaHuyu lil nas anamashabiki wengi sana mzee huko kwao ndo maana unaona mavideo yake yanafikisha mpk views 800M na audio zinafikisha mpk streams Billion
Huyu mdogo wake shetani mzee yaani laana tupuNimejifanya kwenda kuangalia video zake YT aisee huyu dogo ni laana sumaka
😂😂😂 Mmakonde lile jiwe lime muuma sana aisee,alafu anatumia nguvu nyingi kutuaminisha kua na Diamond alitumbuiza kwenye bar kama yeyeMondi alipofoa jiwe gizani, kwa bahati nzuri likampata mhusika... Mhusika kaona isiwe taabu, akatapika bonge la riwaya (zaidi ya essay)