Ferruccio Lamborghini
JF-Expert Member
- Apr 15, 2020
- 1,667
- 2,595
- Thread starter
- #41
πππππππ Mmakonde lile jiwe lime muuma sana aisee,alafu anatumia nguvu nyingi kutuaminisha kua na Diamond alitumbuiza kwenye bar kama yeye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππππ Mmakonde lile jiwe lime muuma sana aisee,alafu anatumia nguvu nyingi kutuaminisha kua na Diamond alitumbuiza kwenye bar kama yeye
Mtakufa na wivuUpepo sasa hivi upo kwa WizKid na mwakani ana chukua tuzo zote, Essence inafanya sana vizuri nje ya bara la Africa.
Wivu upi......?Mziki una upepo, sasa hivi hata Burna na Davido hawafanyi vizuri na sio kwamba wamedrop.Mtakufa na wivu
Hayo madole ukimtilia nayo Maza ako ataenjoy Sana.
Umeshatolewa kwny lile kundi la kushogeshwa?Mzee baba usimshangae naye yupo kwenye lile kundi la watumia mihadarati
Creativity bila shaka ndiyo inambeba.Lil Nas video zake hovyo kabisa, halafu kachukua video bora.
Hawa wa_Naija wanapokezana tu hizi tuzo. Wakzti Burna anachukua zile BET ungeweza kudhani kuwa Wizkid ame_drop ila baadae anaku_proove wrong. Ila pia naona uhalisia unawabeba sana.Wivu upi......?Mziki una upepo, sasa hivi hata Burna na Davido hawafanyi vizuri na sio kwamba wamedrop.
Naija wanatuzidi vitu vyingi hata robo hatuja wafikia ,wana washika dau kibao kwenye level za kimataifa na ndio maana wana push sana kazi zao hili alishawahi kuliongea Vanessa.Hawa wa_Naija wanapokezana tu hizi tuzo. Ila pia naona uhalisia unawabeba sana.
Amestahili acha roho mbaya, na ameshinda tayari, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Binadamu hatujawahi kuelewa, kuwa mchezo wa Kura Haujawi kuwa Fair. Chochote kinacho husisha kupiga kura hakijawahi kuwa FAIR.
Process ya Kwanza , wao wanakaa wanawaletea list. Vigezo gani wamefuata hadi kuwaweka kwenye list hatujui, ni nani aliwapendekeza wapi kwa njia Gani Sisi Hatujui.
Then booooom tunaletewa tuwapigie kura [emoji28][emoji28][emoji28] halafu unataka FAIR kwenye kura zinazopigwa. Haiwezi tokea. Unless tuanzie mwanzo kupendekeza nani aingie nani asiingie.
Sasa mtu kama Lil Nax na Video yake eti anashinda Tuzo?
Bora hata umuambie, anadhan kura za lil nax zimepigwa na watu wa mkuranga, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie khaaah.Huyu lil nas anamashabiki wengi sana mzee huko kwao ndo maana unaona mavideo yake yanafikisha mpk views 800M na audio zinafikisha mpk streams Billion
mmmhhhhhhh kwa mahaba hayo kwa lil nas itabidi nifatilie mwenendo wako kwa ukaribu πLil Nax,
Nick Minaj,
Taylor Swift ,
Nimefurahi sana tena mno, hasa kwa Lil Nax, tena leo nna furaha mnoo hakika amestahili kipenzi changu, weuweeeeeeh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Diamond a.k.a Chaijaba hawez chukua tuzo yyte kwa mziki gani??
ile KAMATA KAMATA KAMATIA KAMATA!!!!
u gotta be joking dude!!!
This nigga kaishiwaaaa!!!
Ameshashinda tayar, uzuri hawaimbii nyie watu wa mabwepande, [emoji23][emoji23][emoji23], yuko buzzy na watu wa kwake na wanapenda kuona hivyo, ila nyie ndo mna haha nae bureeh, kwan yeye hana hata habari kuwa mnateseka juu yake, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimejifanya kwenda kuangalia video zake YT aisee huyu dogo ni laana sumaka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwakilishi wetu nae kawa taifa stars siku hizi[emoji16][emoji16][emoji16]
Wale wale laana sumakaAmeshashinda tayar, uzuri hawaimbii nyie watu wa mabwepande, [emoji23][emoji23][emoji23], yuko buzzy na watu wa kwake na wanapenda kuona hivyo, ila nyie ndo mna haha nae bureeh, kwan yeye hana hata habari kuwa mnateseka juu yake, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]