[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuwa huru tyuuh kufuatilia, Montero baby n kipenzi changu, yaan leo nna furaha tupu moyo wangu uko full happy, had chakula nakisikilizia kinapoishia,mmmhhhhhhh kwa mahaba hayo kwa lil nas itabidi nifatilie mwenendo wako kwa ukaribu 😀
Hahah basi sawa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuwa huru tyuuh kufuatilia, Montero baby n kipenzi changu, yaan leo nna furaha tupu moyo wangu uko full happy, had chakula nakisikilizia kinapoishia,
Montero beibeeeh kajua kunikosha wallah, weuweeeeeeh.
Kunywa maji mengi na upumzike, maumivu yakizidi muone daktari.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wale wale laana sumaka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji482][emoji482]hahah basi sawa
Tunaangalia idea ya video bro...Afu kumuhukumu kama na wewe huna dhambi banaBinadamu hatujawahi kuelewa, kuwa mchezo wa Kura Haujawi kuwa Fair. Chochote kinacho husisha kupiga kura hakijawahi kuwa FAIR.
Process ya Kwanza , wao wanakaa wanawaletea list. Vigezo gani wamefuata hadi kuwaweka kwenye list hatujui, ni nani aliwapendekeza wapi kwa njia Gani Sisi Hatujui.
Then booooom tunaletewa tuwapigie kura [emoji28][emoji28][emoji28] halafu unataka FAIR kwenye kura zinazopigwa. Haiwezi tokea. Unless tuanzie mwanzo kupendekeza nani aingie nani asiingie.
Sasa mtu kama Lil Nax na Video yake eti anashinda Tuzo?