HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Hawawezi maana zitasababisha nuke warWampe mpaka zile za kupiga km 500 ili kazi iwe rahisi vizuri.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawawezi maana zitasababisha nuke warWampe mpaka zile za kupiga km 500 ili kazi iwe rahisi vizuri.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Himars sio bomu ni launchers, walizopewa sasa ni makombora yanayoweza fika mbaliHIMARS vipi
HIMARS vipi hazikufua dafu ? maana kimya sanaHimars sio bomu ni launchers, walizopewa sasa ni makombora yanayoweza fika mbali
Kapige nyetoHIMARS vipi hazikufua dafu ? maana kimya sana
unajua US na baadhi ya nchi za magharibi wameidanganya Ukraine kwa ahadi kibao za kiulinzi dhidi ya Russia
Huwa nikisoma comments kama hizi huwa nastaajabu akilini mwa watz kuna nini, nadhani kuna tatizo kubwa kuliko ccm.lengo ni kutumia ardhi ya Ukraine kutest nguvu za Urusi..
Mbuzi gani CCM au ?Wewe unaechinja mbuzi hapo Vingunguti eti ndio unajua.
Russia [emoji635] ni dude kubwaHivi hii misaada inayotangazwa na huu umoja wa kinamama wa Nato mbona hatuoni ukibadili chochote kwenye uwanja wa vita?
Sanasana tunaona dubu akiendelea kujilia kitoweo chake tu
Punguza jazbaKapige nyeto
Sio kumchalengi russia anampiga marekani kama mtotooky hiyo misaada italefusha Vita kidogo ,hapo ni kufanya Vita isiishe mapema .aise ngoja tuone nn kinaenda kutokea ,pengine tukashuhudia makubwa zaidi .nchi pekee duniani yenye uwezo wa kumvimbia USA ni Russia,je Russia atadumu kwenye historia Kama taifa lenye nguvu za kum challenge marekani!!? majibu tutayapata ndani ya miaka 2 au 3 ijyayo ,yaani yadi 2025,tukatakuwa tumeshafunga chapter ya huu ubishani.
Ikiuma chomoaPunguza jazba
Marekani inayopigwa na Urusi labda ni Marekani ya kwa Mtogole.Sio kumchalengi russia anampiga marekani kama mtoto
BukyanagandiHivi, binadamu kagundua gari, ndege, roketi za kwenda nje ya mfumo wa dunia, AI na mazagazaga yake lakini ameshindwa mfumo wa maisha usiohusisha vita. How? Huenda kuna binadamu wachache sana wanaojua siri ya ulimwengu.
Unaguna nini? Nato sio chochote mbele wanaume( urusi)Mnavyomchukulia NATO kiuwepesi mpaka nabaki naguna tu....
Wazee wa Biashara hao ..hapo hakuna msaada.
Mbona maneno mengi babu we si Mtanzania wewe.Si mlisema Ukraine haitakuwepo itafutwa na Urusi?! Sasa mnalialia nini? Na hiyo biashara italipwaje kama Ukraine haitakuwepo?
Hivi hii misaada inayotangazwa na huu umoja wa kinamama wa Nato mbona hatuoni ukibadili chochote kwenye uwanja wa vita?
Sanasana tunaona dubu akiendelea kujilia kitoweo chake tu