Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Ameshindwa kumpiga Ukraine kama mtoto
Sio kumchalengi russia anampiga marekani kama mtoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kumchalengi russia anampiga marekani kama mtoto
Anachoshwa kwanza, akilegea wanampanda mazima[emoji123]Hivi hii misaada inayotangazwa na huu umoja wa kinamama wa Nato mbona hatuoni ukibadili chochote kwenye uwanja wa vita?
Sanasana tunaona dubu akiendelea kujilia kitoweo chake tu
Acha kupotosha..Haya ndo masafa Marefu??????.. 150km hh haumbali wa 150km.
Hao ni vijana wadogo tu wanajifurahisha.Mnavyomchukulia NATO kiuwepesi mpaka nabaki naguna tu....