Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaah hujaona wengi tu wamemchokoza huko mwanzo.!Karibu,atakae kuchokoza humu niambie
Hahahahaaa...asante mkuu kwa ukaribisho, kuchokozwa ni sehemu ya maisha.Karibu,atakae kuchokoza humu niambie
KaribuHabari zenu wadau na washirika wa jf? mimi Mjumbe wa Amani ninayo furaha kubwa kujiunga nanyi, baada ya kutumia jf kama mgeni leo nimeona nijiunge na kuwa member.Nimefurahishwa na kila kinachoendelea hapa jf na ndiyo sababu ya kuamua kujiunga nanyi.Nina imani kubwa kwa ushirikiano wenu.
Asante Mku.Karibu
PAsante Mku.