Washiriki wa Mapenzi ya Jinsia Moja kufikishwa Mahakamani, Serikali Yajipanga Kusimamia Sheria

Washiriki wa Mapenzi ya Jinsia Moja kufikishwa Mahakamani, Serikali Yajipanga Kusimamia Sheria

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Serikali imeahidi kuendelea kutoa elimu kwa jamii ili kukomesha vitendo vya mapenzi ya jinsia moja ambavyo vinakiuka sheria, taratibu, mila na desturi pamoja na kuwakamata wanaojihusisha, sambamba na kuchukua hatua za kuwapeleka Mahakamani

Akijibu swali la Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini, Ramadhan Ighondo kuhusu kuchukuliwa hatua watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja, Naibu Waziri wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mwanaidi Ali Khamis amesema: "Vitendo vya mapenzi ya jinsia moja ni kosa la jinai, na serikali itaendelea kushirikiana na Jeshi la Polisi pamoja na Mahakama kuhakikisha sheria inatekelezwa."
Pia, Soma:
 
Mh Waziri hajui hata takwimu za matukio ya jinsia moja.
Sasa anapinga vipi Kitu ambacho hakijui??
Ushoga ni sera ya kimataifa kuipinga ni kutwanga Maji kwenye kinu.

Jukumu LiPo kwako wewe mzazi kumsimamia mtoto wako ili asiwe miongoni mwa mashoga Ila usitegemee sera za serikali kumlinda mwanao
 
Mh Waziri hajui hata takwimu za matukio ya jinsia moja.
Sasa anapinga vipi Kitu ambacho hakijui??
Ushoga ni sera ya kimataifa kuipinga ni kutwanga Maji kwenye kinu.

Jukumu LiPo kwako wewe mzazi kumsimamia mtoto wako ili asiwe miongoni mwa mashoga Ila usitegemee sera za serikali kumlinda mwanao
Kwa kweli, hawawezi kudhibiti maana hata hao waliopo bungeni na hawajeshi la Polisi nako wapo kibao sema tu usiri ndio mkubwa nyuma ya hii kitu.

Ningependa wajadili tuu mambo ya msingi ya nchi, lakini wakamate wanadhulumu haki za watu wanyonge na wezi wa umma hao ndio wafikishwe mahakamani
 
Serikali imeahidi kuendelea kutoa elimu kwa jamii ili kukomesha vitendo vya mapenzi ya jinsia moja ambavyo vinakiuka sheria, taratibu, mila na desturi pamoja na kuwakamata wanaojihusisha, sambamba na kuchukua hatua za kuwapeleka Mahakamani

Akijibu swali la Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini, Ramadhan Ighondo kuhusu kuchukuliwa hatua watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja, Naibu Waziri wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mwanaidi Ali Khamis amesema: "Vitendo vya mapenzi ya jinsia moja ni kosa la jinai, na serikali itaendelea kushirikiana na Jeshi la Polisi pamoja na Mahakama kuhakikisha sheria inatekelezwa."
Pia, Soma:
Yule afande wa Zenji aliachiliwa huru
 
Serikali imeahidi kuendelea kutoa elimu kwa jamii ili kukomesha vitendo vya mapenzi ya jinsia moja ambavyo vinakiuka sheria, taratibu, mila na desturi pamoja na kuwakamata wanaojihusisha, sambamba na kuchukua hatua za kuwapeleka Mahakamani

Akijibu swali la Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini, Ramadhan Ighondo kuhusu kuchukuliwa hatua watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja, Naibu Waziri wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mwanaidi Ali Khamis amesema: "Vitendo vya mapenzi ya jinsia moja ni kosa la jinai, na serikali itaendelea kushirikiana na Jeshi la Polisi pamoja na Mahakama kuhakikisha sheria inatekelezwa."
Pia, Soma:
Siku mtakapoanza kupeleka mahakami mtajipeleka na ninyi wenyewe na hao wasimamia ulinzi kwa kweli, kwani yule askari wa Zanzibar alifungwa miaka mingapi jaman? 😅
 
Ndio, yaan serikal inajitoa ufahamu inaacha kufanya mambo ya msingi inaingilia faragha za watu kwa kweli, kwani kula tigo ni ajabu jaman? Huko serikalini wanakulana sana sema kwa siri. So washughulikie na maendeleo ya nchi waache makasiriko
Umezaa wewe ? Humuogopi Mungu wewe ni dini gani?
 
Serikali imeahidi kuendelea kutoa elimu kwa jamii ili kukomesha vitendo vya mapenzi ya jinsia moja ambavyo vinakiuka sheria, taratibu, mila na desturi pamoja na kuwakamata wanaojihusisha, sambamba na kuchukua hatua za kuwapeleka Mahakamani

Akijibu swali la Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini, Ramadhan Ighondo kuhusu kuchukuliwa hatua watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja, Naibu Waziri wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mwanaidi Ali Khamis amesema: "Vitendo vya mapenzi ya jinsia moja ni kosa la jinai, na serikali itaendelea kushirikiana na Jeshi la Polisi pamoja na Mahakama kuhakikisha sheria inatekelezwa."
Pia, Soma:
Upumbavu mtupu wametunga sheria za kumfanya mwanamke kama bomu kwa mwanaume kisha wanajidai kupinga ushoga ...kama unatunga sheria hatarishi dhidi ya mtoto wa kiume kuhusu msichana wa chini ya miaka 18 moja kwa moja unatengeneza bomu.la ushoga ..eti msichana wa chini ya miaka 18 hata awe amesha zaa ukitembea naye au kumuoa umebaka ufungwe maisha ?...mnatunga sheria za kupinga mfumo dume kisha unakuja kujidai unapinga ushoga ...hivi ukiondoa mfumo dume sindiyo umeleta ushoga ...kanuni inasema mfumo dume ndiyo umwanamume na mfumo jike ndiyo umwanamke ..mifumo yote miwili ni muhimu wanawake wafunzwe kuwa wanawake na kuishi kiuwanawake ndiyo mfumo JIKE...na wanaume wafunzwe kuwa wanaume haswa na kuishi kiuanaume ndiyo mfumo DUME
 
Ndio, yaan serikal inajitoa ufahamu inaacha kufanya mambo ya msingi inaingilia faragha za watu kwa kweli, kwani kula tigo ni ajabu jaman? Huko serikalini wanakulana sana sema kwa siri. So washughulikie na maendeleo ya nchi waache makasiriko
Kula tigo ni tatizo la afya ya akili, mwenye afya njema ya akili hawezi kula tigo!!
 
Kabla ya kutoa hukumu kwa wapenzi wa jinsia moja watoe kwanza hukumu juu ya wanandoa na wapenzi wanaoingiliana kwa mparange
 
Back
Top Bottom