Washiriki wa Mapenzi ya Jinsia Moja kufikishwa Mahakamani, Serikali Yajipanga Kusimamia Sheria

Washiriki wa Mapenzi ya Jinsia Moja kufikishwa Mahakamani, Serikali Yajipanga Kusimamia Sheria

Upumbavu mtupu wametunga sheria za kumfanya mwanamke kama bomu kwa mwanaume kisha wanajidai kupinga ushoga ...kama unatunga sheria hatarishi dhidi ya mtoto wa kiume kuhusu msichana wa chini ya miaka 18 moja kwa moja unatengeneza bomu.la ushoga ..eti msichana wa chini ya miaka 18 hata awe amesha zaa ukitembea naye au kumuoa umebaka ufungwe maisha ?...mnatunga sheria za kupinga mfumo dume kisha unakuja kujidai unapinga ushoga ...hivi ukiondoa mfumo dume sindiyo umeleta ushoga ...kanuni inasema mfumo dume ndiyo umwanamume na mfumo jike ndiyo umwanamke ..mifumo yote miwili ni muhimu wanawake wafunzwe kuwa wanawake na kuishi kiuwanawake ndiyo mfumo JIKE...na wanaume wafunzwe kuwa wanaume haswa na kuishi kiuanaume ndiyo mfumo DUME
Hata mim nnaona kudis mfumo DUME ni upimbi kwahyo wanataka watoto wakiume waishi mfumo JIKE!?
 
Yule afande wa Zenji aliachiliwa huru
Huyo afande sijui aliwezaje kuwa ndani ya jeshi maana huwa wanapimwa kabla ya kujiunga na pia wakiwa kazini. Sijui wanavyopimwa. Ila wanapimwa niliambiwa
 
Rais wa Uganda ndiye raiS pekee Africa aliyesimama na kupinga ushoga hadharani na kwenye majukwaa ya kimataifa. Kwamba taasisi na idara mbali mbali zinataekeleza maagizo ya mkuu wao.

Hizi nyi nyingine, ushoga ni ruksa.
Hizi za sheria yetu inaseme vile, inasema hiv ni blah blah
 
Wasimuache na RC wa Chuga.

Na januari.
Huyu kijana mshika dini, mwenye heshma zake, mtanashati, msomi mzuri, kiongozi wa siku zijazo haogopi harufu ya kinyesi?
Mjanja ni yeye katika hayo mahusiano au yeye ndio mpole a.k.a delicious?
 
Yule Mama anaegombea urais Marekani anavyoupigia chapuo Uchoko akishinda lazima tupewe msaada wenye masharti kwa njaa zetu.
 
Babu Talent wa Dainamo atakwepa kwa nguvu zote.
 
Back
Top Bottom