jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 6,963
- 9,401
Mimi ni Dr wa afya ya akili kwenye kitengo cha ngono, umenikumbuka sasa!!??We ni daktari WA wapi vile...nimesahau?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni Dr wa afya ya akili kwenye kitengo cha ngono, umenikumbuka sasa!!??We ni daktari WA wapi vile...nimesahau?
Hata mim nnaona kudis mfumo DUME ni upimbi kwahyo wanataka watoto wakiume waishi mfumo JIKE!?Upumbavu mtupu wametunga sheria za kumfanya mwanamke kama bomu kwa mwanaume kisha wanajidai kupinga ushoga ...kama unatunga sheria hatarishi dhidi ya mtoto wa kiume kuhusu msichana wa chini ya miaka 18 moja kwa moja unatengeneza bomu.la ushoga ..eti msichana wa chini ya miaka 18 hata awe amesha zaa ukitembea naye au kumuoa umebaka ufungwe maisha ?...mnatunga sheria za kupinga mfumo dume kisha unakuja kujidai unapinga ushoga ...hivi ukiondoa mfumo dume sindiyo umeleta ushoga ...kanuni inasema mfumo dume ndiyo umwanamume na mfumo jike ndiyo umwanamke ..mifumo yote miwili ni muhimu wanawake wafunzwe kuwa wanawake na kuishi kiuwanawake ndiyo mfumo JIKE...na wanaume wafunzwe kuwa wanaume haswa na kuishi kiuanaume ndiyo mfumo DUME
Huyo afande sijui aliwezaje kuwa ndani ya jeshi maana huwa wanapimwa kabla ya kujiunga na pia wakiwa kazini. Sijui wanavyopimwa. Ila wanapimwa niliambiwaYule afande wa Zenji aliachiliwa huru
Kuna yule waziri mstaafu wa zamani mwenye mke wa kiume Tabata naye asiachwe.Yule afande wa Zenji aliachiliwa huru
Wasimuache na RC wa Chuga.Kuna yule waziri mstaafu wa zamani mwenye mke wa kiume Tabata naye asiachwe.
Huyu kijana mshika dini, mwenye heshma zake, mtanashati, msomi mzuri, kiongozi wa siku zijazo haogopi harufu ya kinyesi?Wasimuache na RC wa Chuga.
Na januari.
Siku hizi hata wanyakyusa wanaujua huo mchezo.Tatizo u~p.didy unafanyika kwa siri sana
Ha ha sasa hivi ni mwendo wa kambaree.Siku hizi hata wanyakyusa wanaujua huo mchezo.
Miaka ya 80 ukimtajia mwanamke wa kinyakyusa tigo ujue una kesi kwa balozi.
Huko utajaza mafuso kwa mafuso mkuu.Kabla ya kutoa hukumu kwa wapenzi wa jinsia moja watoe kwanza hukumu juu ya wanandoa na wapenzi wanaoingiliana kwa mparange
Utawajuaje? Hayo mambo ni ya siriKabla ya kutoa hukumu kwa wapenzi wa jinsia moja watoe kwanza hukumu juu ya wanandoa na wapenzi wanaoingiliana kwa mparange
Mna ushahidi kwa hayo mliyoandika?Wasimuache na RC wa Chuga.
Na januari.
Utawajuaje? Hayo mambo ni ya siri
Tutatembeza kichapo kila nyumba mpaka wasemeMna ushahidi kwa hayo mliyoandika?
Du ni balaa tupuSiku hizi hata wanyakyusa wanaujua huo mchezo.
Miaka ya 80 ukimtajia mwanamke wa kinyakyusa tigo ujue una kesi kwa balozi.
😂😂😂 wamekosa ya kufanya mpaka wahangaike na vinyeo vya wakulungwa?Wakuache kwanza...
Wasitake kukuvuruga mbwa hao
😂😂😂😂
Alafu kapunguze bichwa hilo 😂😂😂😂😂😂 wamekosa ya kufanya mpaka wahangaike na vinyeo vya wakulungwa?