Wasichana 5 bora wanaoongoza kwa uzuri Bongo Movie

Wasichana 5 bora wanaoongoza kwa uzuri Bongo Movie

katika game ya bongo movie wapo wanawake wengi sana waliojaaliwa uzuri wa sura na maumbo kupitia maoni ya watu kadhaa nimepata list fupi ya wadada watano ambao ni warembo na wenye mvuto zaidi nao ni 1.welu sengo,2.yobnesh yusuph(batuli),3.wema sepetu:what:,4.lulu michael,:what:5.irene uwoya,:what😱rodha hii ni kwa maoni ya watu niliozungumza nao na mimi mwenyewe toa maoni yako.

mariam mbewa ndio mpango mzima
 
Katika game ya bongo movie wapo wanawake wengi sana waliojaaliwa uzuri wa sura na maumbo kupitia maoni ya watu kadhaa nimepata list fupi ya wadada watano ambao ni warembo na wenye mvuto zaidi nao ni 1.WELU SENGO,2.YOBNESH YUSUPH(BATULI),3.WEMA SEPETU,4.LULU MICHAEL,5.IRENE UWOYA,orodha hii ni kwa maoni ya watu niliozungumza nao na mimi mwenyewe toa maoni yako.

Mkuu mtoe wema hapo weka toto la kichaga mtoto mwenye macho mazuri sauti, umbo na mengiyo miss wolper ambae akitokezea tu kwenye anga zangu namhonga nyumba
 
Duh kila mtu na taste yake mimi namba moja weka Asha Boko alafu endeleza list iwe MIZIGO ile miss Bantu maana kwangu urembo unaanzia hapo.
 
Katika game ya bongo movie wapo wanawake wengi sana waliojaaliwa uzuri wa sura na maumbo kupitia maoni ya watu kadhaa nimepata list fupi ya wadada watano ambao ni warembo na wenye mvuto zaidi nao ni 1.WELU SENGO,2.YOBNESH YUSUPH(BATULI),3.WEMA SEPETU,4.LULU MICHAEL,5.IRENE UWOYA,orodha hii ni kwa maoni ya watu niliozungumza nao na mimi mwenyewe toa maoni yako.

Naunga mkono hoja huyo Wellu Sengo ni shida hao wengina sina uhakika..nimewona kwen movie ya JB ni sheeder

Cc Asprin kwa ufuatiliaji
 
Last edited by a moderator:
MBONA SIJAONA JINA LA
RIYAMA ALLY na Irene Paul,,,,,???
Mkuu you are not fair at all.
 
Wellu sengo ni kifaa namuelewa sana
Yaani hata nyumba ya urithi naweka bondi kwa huyu mtoto.
 
Naomba picha zao wote please, ilaaa Wema big No.
 
kazi kweli na hizi mulugo umeulizwa swali jibu...sio unaanza personal attack ungesema hao sio wazuri sio wana watoto pyeeeee mamako kukuzaa wewe kawa mbaya???

Pole Evelyn Salt, amekukwaza huyo. By the way una watoto wangapi?
 
Wellu Sengo mzuri kwa sura na shepu, ila ni malaya saaaaaana.
Kamlia sana kaka angu pesa zake za urithi.
Alivyoona zimeisha akamkimbia

ukiona hivyo ujue kaka yako ni -----
 
Back
Top Bottom