Wasichana: Jisafisheni miili yenu mnatia aibu

Kama mchafu si umtakatishe kuliko kashfa, tukianza kuongelea suala la nani mchafu nani msafi si tutajaza Server humu.....

Mwanamke yoyote ni mama wa mwenzio sasa sijui kama utapenda kuona mzazi wako akidhalilishwa na kukashifiwa.
S kuna wanaojiita WCB huoni wanatukashfu.
 
Ukishaamua kutembea na visichana Uwe mvumilivu Tu! Sie wengine tushahama hilo rika kitambo....Nawapenda sana wanawake kuliko wasichana.
 

Mmh tukianza kutoa na madhaifunyenu nadhani makubwa kuliko haya
 
jamaa ana malani mabaya sijapata kukutana nayo uwe unaweka kapicha hata kadunchu kama kievidensi kama ulisahau kufoto picha kwakuwa muhusika yupo humu weka id yake utakuwa umemsaidia atabadilika.... na mimi ninayependa misitu nijue pakuenda...

kwa malani haya haukumtoa hata na buku uongo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…