halloperidon
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 2,096
- 5,254
[emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30]Unajua nini wewe ikiwa ulitahiriwa na miaka mi 4 hata jando hukwenda!! Alafu mimi katika maisha yangu yoote huwa sibishani na watu design yenu maana hakuna mnachojua zaidi ya kishughulisha viungo vyenu,hamna siri Hanna vifua vya kubeba mambo yaani mko sawa sawa na wanawake wasiofundwa
Cheka tu ndugu yangu, hivi vitoto vya siku hizi vyajifanya vinajua kila kitu kumbe ni bure kabisaa[emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30]
Huu Uzi nimecheka kwakweli
Asante kwamba hayo ayasemayo ni kweli?Asante kungwi.
Na pia boys mambo ya geto, sisi wanaume pia tuko tofauti na boys ujue, huwa hatukutani na hayo mauza uza, hayo ni kwa boys tuu na girls not for ladies and gentlemen, [emoji3] [emoji122]afadhali umeongelea wasichana ... wanawake tupo tofauti
Ni kweli mkuuCheka tu ndugu yangu, hivi vitoto vya siku hizi vyajifanya vinajua kila kitu kumbe ni bure kabisaa
Mkuu mimi ambacho huwa sikipatii majibu wanaofuga kucha ndefu chooni wanaenda bila maji au
Mtoa Mada katukana, wachangia mada Mnatukana basi mimi nawaangalia tu mkitukanana, ila mfahamu "Hatukutakiwa kutukanana, sijui ma boxer machafu n.k tulitakiwa tumuelelimishe huyu kijana kwamba Govi ni uchafu ndio maana alitolewa badala ya kutangazwa"
Kama aliyenae ni mchafu hakutakiwa kumtangaza hapa, ila kuomba ushauri wa namna bora ya mwanamke kusafisha tupu zake, bila kashfa bila matusi
Nikimkuta mwanamke mremboooo halafu akuja ndefu,akhhhh namuona kama nzi wa choon kbsa.huwa sipendi kabisa mwanamke mwenye kujielewa awe na kucha ndefu.huu ni uchafu uliopitiliza tena unaomzidi nzi wa choon
Kabla sijakujibu naomba kujua kama una kikoromeo hapo ulipo au una shingo tu pekee kama Dada yakoKusema uchafu wa ndani/mwili wa wasichana si kutukana hata kama wewe ukisema boy friend wako anavaa boxer chafu si tusi. Kwani hujuwi tofauti ya matusi na usafi wa mwili?
Kabla sijakujibu naomba kujua kama una kikoromeo hapo ulipo au una shingo tu pekee kama Dada yako
Mara nyingi mwanamke mwenye kucha ndefu ni mchafu wa sehemu za asili, kwani wanakuwa hawajioshi kisawasawa. Wengi wa hao wanawake wananuka ile sehemu usisikie.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] nacheeka kwa dharau sana! Wewe usifikiri kila mwanamke ni wa type yako!! Kiufupi tu we humfikii mume wangu hata kidogo, yaani hata manukato yake hufanani naeWe una nini.....mimi nina dushe na sivai boxer chafu, walitaka mdomo mwako hilo dushe?
Mkuu unaanzaje kumwambia? Kama yeye hawezi kujiweka safi ni shauri yake binafsi.ligi ndogo ndio 0713 au?
Hapo huwa pachafu automatically...
Generally, ukimkuta mchafu kimwili its ok kumwambia arekebishe ili mwende sawa
Ukikaa kimya utakuwa unafiki...
[emoji2] [emoji2] [emoji2] nacheeka kwa dharau sana! Wewe usifikiri kila mwanamke ni wa type yako!! Kiufupi tu we humfikii mume wangu hata kidogo, yaani hata manukato yake hufanani nae
Kiufupi tu nimekuuliza kwa sababu for so Long tumeamimishwa mwanaume mwenye kikoromeo ni mwanaume aliyebarikiwa mwenye uvumilivu na uwezo wa kustahilimili mambo
"ndio maana wanaume wa zamani karibu wote walipewa kikoromeo". Sasa nyie wavulana wa Leo mliopewa shingo mororo ndio mnataka kushida humu msindane na Dada zenu,off course mimi ni Dada yako lakini huna sababu ya kuniheshimu sababu hujapewa kikoromeo
Uume hata mtoto aliyezaliwa leo na hata yule wa darasa la 7 anao kwaiyo tuliza akili hiko sio kipo cha uanaume wako
*Mwanaume wa kweli ni mlinzi kwa mkewe (girlfriend wake)
*Mwanaume wa kweli ni mwelevu na sio mbea kama mfanyavyo nyie, kama kuna tatizo kwenye mahusiano yake humuita mwenzi wake na kukaa nae chini kisha kumueleza hivi na hivi sio
*Mwanaume wa kweli ni mwalimu ma kiongozi wa familia yake (kitu ambacho wewe huna na umejaaliwa matusi) hope sifa za Mwl na kiongozi unazijua basi Huyo ndio mwanaume wa kweli
*Kinywa cha mwanaume rijali hutamka maneno yenye kujenga ndani yake na sio Yale yenye kuchefua moyo
NB.yote hayo walifundishwa wakiwa jando, muulize baba yako atakwambia
Katika vitu vinavyochangia kuvunjika kwa mahusiano basi ni hali ya wenza kuogopa kuambiana mapungufu yaoMkuu unaanzaje kumwambia? Kama yeye hawezi kujiweka safi ni shauri yake binafsi.
Thank youHigh Five to You
[emoji2] [emoji2] [emoji2] nacheeka kwa dharau sana! Wewe usifikiri kila mwanamke ni wa type yako!! Kiufupi tu we humfikii mume wangu hata kidogo, yaani hata manukato yake hufanani nae
Kiufupi tu nimekuuliza kwa sababu for so Long tumeamimishwa mwanaume mwenye kikoromeo ni mwanaume aliyebarikiwa mwenye uvumilivu na uwezo wa kustahilimili mambo
"ndio maana wanaume wa zamani karibu wote walipewa kikoromeo". Sasa nyie wavulana wa Leo mliopewa shingo mororo ndio mnataka kushida humu msindane na Dada zenu,off course mimi ni Dada yako lakini huna sababu ya kuniheshimu sababu hujapewa kikoromeo
Uume hata mtoto aliyezaliwa leo na hata yule wa darasa la 7 anao kwaiyo tuliza akili hiko sio kipo cha uanaume wako
*Mwanaume wa kweli ni mlinzi kwa mkewe (girlfriend wake)
*Mwanaume wa kweli ni mwelevu na sio mbea kama mfanyavyo nyie, kama kuna tatizo kwenye mahusiano yake humuita mwenzi wake na kukaa nae chini kisha kumueleza hivi na hivi sio
*Mwanaume wa kweli ni mwalimu ma kiongozi wa familia yake (kitu ambacho wewe huna na umejaaliwa matusi) hope sifa za Mwl na kiongozi unazijua basi Huyo ndio mwanaume wa kweli
*Kinywa cha mwanaume rijali hutamka maneno yenye kujenga ndani yake na sio Yale yenye kuchefua moyo
NB.yote hayo walifundishwa wakiwa jando, muulize baba yako atakwambia
Umeanza uchokonoaji wa ndoa za watu, watu kama nyie hamna tofauti na waganga wa kienyeji mnataka kujulikana na kila mtu "eti unijuwi..." Sasa una nini la maana ikiwa kichwani tu yaonyesha u Mweupeee kama unga wa ngano unamung'uka kulingana na matakwa ya mkandajiHuu ndio uzuri wa JF....mtu kama humjuwi utaandika mengi tu mazuri ama ya kashfa dhidi yake. Nashukuru kwa yote ila ukweli ni kwamba hunijuwi kama usemavyo na nina uhakika kama ungeniona live ungejiuliza mara mbili na pengine hata mumeo ungemuona kikoromeo. Jipe moyo kuwa anakujali ila najuwa hauko pekee kwenye ndoa yako. Bongo hii, wajanja ni wengi mno na usikute anayekula na mumeo ama boy friend wako ni jrani ama rafikiyo. Ipo siku utakuja kunikumbuka. Natanguliza pole kwako.